Changamoto za kuoa ukiwa “Senior Bachelor”

Changamoto za kuoa ukiwa “Senior Bachelor”

Lol no! Sijui jinsi ya explain, Ila kuna Ile stage, flani hivi.... Let say napika mwenyewe etc,
sasa ukishakuja wewe Agata in my life tategemea ufanye vitu flani na usipofanya in right way ndio matatizo yanapoanza taona unanipa stress tuu
Na nikiwa peke yangu sipati hizo unnecessary stress [emoji23][emoji23]
Ubinafsi huu.
 
Lol no! Sijui jinsi ya explain, Ila kuna Ile stage, flani hivi.... Let say napika mwenyewe etc,
sasa ukishakuja wewe Agata in my life tategemea ufanye vitu flani na usipofanya in right way ndio matatizo yanapoanza taona unanipa stress tuu
Na nikiwa peke yangu sipati hizo unnecessary stress [emoji23][emoji23]
Ukiona nimekosea si unaniambia
 
That is another changamoto, ujue BAADHI ya wanawake hawapendi kusikia ukweli na wanawake hamkawii kutwist things, nikikuambia mara 2-3 utasema nadate na huyu senior bachelor' ananitreat kama mtoto kila kitu nikifanya anaongea tuu
Ukiona nimekosea si unaniambia
 
That is another changamoto, ujue BAADHI ya wanawake hawapendi kusikia ukweli na wanawake hamkawii kutwist things, nikikuambia mara 2-3 utasema nadate na huyu senior bachelor' ananitreat kama mtoto kila kitu nikifanya anaongea tuu
usijipe matokeo kabla hujafanya mtihani.
 
i
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 tunafanyaje sasa?
Ndo mimi huyo...
IMG_20190417_141900.jpeg
 
Ni changamoto kubwa niliyoipata ilikuwa ni kupenda, senior bacheloz always wanakuwa wamepita kwenye mahusiano mengi sana. Kwahiyo kupenda moyo ulishakufa kitambo hii inasababisha kigugumizi kwenye maamuzi yupi atakufaa kwa matumizi ya nyumban.
Ila changamoto nyingine ni kuacha makoloni yote na kuwa na mmoja kama njiwa. Hili ni tatizo kwakweli. Kwa wanaotaka kuoa au kuolewa fanyeni maamuzi mapema mtakuwa sugu kwenye mapenzi iwaletee shida kwenye maamuzi. Na kama unadate na senior bachelor ujue kuwa peke yako ni 2-10%tu
Umenena vyema kabisa yani mkuu
 
Back
Top Bottom