Point yangu ilikuwa,
Unapofikia umri wa senior bachelor, wadada wengi watakupenda kwa ulichonacho (materially) kuliko character yako.
Status maana yake nini?Agatha status yako ikoje???
KumbeeMarital status
mwambie acheki katuni aongee mwenyewechangamoto kubwa kwangu mimi nimezoea kuishi mwenyewe, akija manzi tu gettoh akikaa week namchoka sababu kwanza nikipanga ratiba zangu muhimu nimzingatie na yeye, yaan mfano mda wa kurudi home, pia mara nyingi nikiwa home nahitaji kupumzika zaidi kuliko kuongea hii ni changamoto zaidi maana ukiwepo nyumban anataka story zaidi, Mungu anisaidie anibadilishe, maana pia nimekua mkosoaji mkubwa
hilo fundisho la wapi sio mpango wa MunguKuoa ni ISSUE nyingine tena tutafutiwe shule kwenda kusomea..sio simpo simpo ivyooo Level ya uvumilivu kwenye ndoa inatakiwa ivuke 100% sasa level hiyo bila kurudishwa mashuleni kufundishwa sidhani kama tutatoboa,au ndo tuoe tukae mwaka tuachane?
Bila shule kuoa uwe na kipaji chakuoa...by Age of 36 ntakua tayari nina kids wangu 12 watakapotokea mimi sijui ila SIOI...HAZINA YANGU NI WATOTO tu...ndoa na inipitie mbali mimi kujitia kitanzi natakaga mimi sasa!
What if akakukubali kwa sababu the clock is ticking? Imagine upo 40yrs unatafuta mtu, unakutana na dada 32yrs yupo desperate, ni shida mkuu. Yaani kutafuta mtu wa kuoa umri ukishaenda ni mtihani mkubwa mno, ukiwa financially free utapata tabu na ukiwa huna pia utapata shida.Hahaha kama huna kitu basi uko safe in my view.
Safe kuwa utakataliwa hasa, ila atakayekukubali atakukubali kwa vision na character yako!!!
Andika kiswahili jamani wengine hatuelewi.....
Andika kiswahili jamani wengine hatuelewi.....
BadoUmeolewa au la?
Bado
Hata mpenz sina. ...Una mchumba ama la?
Ubinafsi huu.4. Senior bachelor's tumeshazoea that privacy, na vitu ndani ya nyumba viko katika sehemu sahihi, sasa baadhi ya wanawake wanakuja na issue Za kuosha vyombo vya breakfast pamoja na vya lunch, naona kama mwanamke kaja kusaidia mende kuzaliana