LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,507
Kwahio mzee ushafika field marshall nin?.36yrs
Kwahio mzee ushafika field marshall nin?.36yrs
Yote hayo yanasabibishwa na uchoyo36yrs
Wanaume hawajui wanachokitaka OverKweli naona under 25 wanakandamizwa
Sijui wametumia kigezo gani kuconclude kwamba under 25 wote hawafai...
Ila hao over 25 nao imekua changamoto..Sasa hapo sijui wanaume mnataka wepi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kudadekiiiiii hahahahahahah leoo loooool...wakizaa na kuachwa wanakuwa wife material first class
Jokate ni bonge la demuuMwanamke anazeeka mapema na anapoteza mvuto mapema sana, angalia jokate hata 35 hajafikisha lakini,uzuri kiwango kishashuka,Hana Tena ule mvuto,ndo maana wazee wa kale walisema uzuri wa mwanamke sio sura tabia,sisi wanaume ndo tunaelewa hii kauli kuliko nyinyi
Sent using Jamii Forums mobile app
Naaah tuko full peace alafu..hujui ndoa ni taasisi ya kinafki?.,Umekuwaje siku hizi? Jamaa anazingua?
Yeah
OkMy take...u may be the problem
Haiwezekani 36yrs hujaaamua..
M sure u have met women ambao deep down ur heart unakiri these are good women kabisaa ila sasaaaaaa
Ni either unatoa kasoro sana ladies wanachukuliwa na jamaa wengine or simply give up on u au hujui kuishi na mwanamke...
Over
Iko pande zoteOh maombi nilijua wanawake tu
Hongera kwa hiloDuh hayo madude sina. I'm very clean
Huu uzi haunifai kumbe...36yrs
Kuna watu walikuwa wananiita senior bachelor, nilipoona kichwa cha uzi nikaweka kituo. Ila ulipoweka umri naona bado sijafikia vigezo wananiwahisha tu.Kwanini?