notyfeky
JF-Expert Member
- Apr 17, 2022
- 673
- 664
Habari za muda huu ndugu watumishi wa Umma.
Naomba uzi huu Uwe maalum kabisa kwa ajili ya kupeana uzoefu kuhusu changamoto mbalimbali zinazo wakabili watumishi wa umma kabla, wakati na baada ya kupata uhamisho wa kikazi.
Mfano Mimi binafsi niliomba uhamisho wa kubadilishana kituo cha kazi nikafanikiwa kuhama mwaka huu japo mwenzangu bado hajapata barua, changamoto imekuja katika kuhamisha mshahara, A/utumishi anadai niende Dodoma kwani mshahara umegoma kuhamia h/shauri mpya.
Hapa nawaza sijui nianzie wapi, maana uhamisho nimefuata taratibu Zote kuanzia ngazi ya kituo, wilaya hadi mkoani na barua nikatumiwa kupitia mwajiri wangu na nikafungashiwa taarifa vizuri, sasa tena uhamisho siyo halali kivipi?
Kama yupo aliewahi kukutana na changamoto hii atusaidie, yeye aliitatua vipi. Wapo pia Maafisa utumishi humu, watusaidie tafadhali.
Naomba kuwasilisha
Naomba uzi huu Uwe maalum kabisa kwa ajili ya kupeana uzoefu kuhusu changamoto mbalimbali zinazo wakabili watumishi wa umma kabla, wakati na baada ya kupata uhamisho wa kikazi.
Mfano Mimi binafsi niliomba uhamisho wa kubadilishana kituo cha kazi nikafanikiwa kuhama mwaka huu japo mwenzangu bado hajapata barua, changamoto imekuja katika kuhamisha mshahara, A/utumishi anadai niende Dodoma kwani mshahara umegoma kuhamia h/shauri mpya.
Hapa nawaza sijui nianzie wapi, maana uhamisho nimefuata taratibu Zote kuanzia ngazi ya kituo, wilaya hadi mkoani na barua nikatumiwa kupitia mwajiri wangu na nikafungashiwa taarifa vizuri, sasa tena uhamisho siyo halali kivipi?
Kama yupo aliewahi kukutana na changamoto hii atusaidie, yeye aliitatua vipi. Wapo pia Maafisa utumishi humu, watusaidie tafadhali.
Naomba kuwasilisha