Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 9,036
- 12,596
Mnavyolalamika humu ndan as if hii Taiga stars ni boooonge moja LA timu, mbona miaka yote huwa ni hivi hivi tu? Kiufupi tz hatuna wachezaji wazawa wa kushindana na timu za nje hata hii ligi yetu inabebwa na hao ma pro wa nje