Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,170
- 21,309
Hivi kuna mtu anaangalia hilo kundi la ccm
Wanafikili kule kuna nec itafunga goli la mkono
Wanafikili kule kuna nec itafunga goli la mkono
Huyu kijana yaani anaweza fanya almost everything right but tthe final decision au execution ndipo anapo blundder. Quality mate quality.Nchimbi akajikuta Messi eti nae a-lob
Kufa kufaana au sioHakuna timu ya kushindana pale! Lile jopo wanawaza posho tu,sio mbaya lakini tumepiga hela,Zambia win and over 1.5.
Ah wapi...timu itabadilika vibaya mnoStazi hata ifundishwe na mourinho,wenger,guardiola,pochetino,ferguson,scolari,ancelot KIPIGO KIPO PALEPALE.
Tanzania katika ubora wakeTaifa stars imeanza vibaya huko Cameroon dhidi ya Zambia kwa kulala 2-0.
Nadhani rais atatekeleza ahadi Yake ya kutumbua waziri wa michezo ingawa hakucheza.
===
#CHAN2021 Mchezo umemalizika kwa Taifa Stars kupoteza mchezo wake wa kwanza dhidi ya Zambia.
Zambia 2-0 Tanzania
Sikombe 64' (P)
Chabula 81'
View attachment 1681489
Ile game ya Taifa Stars na Burundi ambapo yule Mzee Ntibazonkiza kutufunga wale Jamaa wa Jangwani hawakumuacha, na huyu Chabula kufunga bao la pili sidhani kama ataachwa.Man of the match ni Collins kombe, nadhani Sasa Simba na yanga wataanza kumsaka Kama kawaida yao.
Mkuu kauli za wanasiasa na masilahi binafsi ya viongozi wa mpira wa miguu hapa nchini ndio sababu kubwa ya hii team kufanya vibaya.Kwa jinsi timu inavyocheza, mbinu za kocha wetu jumlisha na uzembe kupitiliza wa wachezaji wetu, nachelea kusema sidhani kama tutapata hata point 1 kwenye group letu.
Soka la Tanzania, bila ya wachezaji wa kigeni ni bure kabisa. Leo Taifa stars wamecheza kama Mbao Fc.
Ni wakati sasa wa kwenda kumuomba msamaha mzee Mwinyi kabla hajatangulia, msemo wa kichwa cha mwendawazimu unaendelea kututesa sana!