CHAN:Ushauri wangu kwa SERKALI.TFF.bodi ya ligi waacheni watanzania waingie bure uwanjani .usituuzie uzalendo

CHAN:Ushauri wangu kwa SERKALI.TFF.bodi ya ligi waacheni watanzania waingie bure uwanjani .usituuzie uzalendo

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
11,718
Reaction score
27,812
Nchi zote waandaaji wamewaachia mashabiki wa soka kuingia viwanjani kushangilia timu zao za taifa bure .

Timu shiriki zimekuja na mashabiki wamelipiwa viingilia nyie mpo busy kutoza hela nyingi sana sijui mnataka nini na idadi ya mashabiki inazidi kupungua mechi ijayo mtatazama wenyewe VIP Kwa ubahili wenu

Jana kenya kavunja record ya mashabiki juzi uganda alijaza wao wanaingiza watu bure au kuweka kiqango cha chini kabisa sio nyie elfu 20000 na 10000 na 5000 hiyo pesa hata simba na yanga hawaweki na bado huwa wanalipwa mashabiki

Usitafute faida tafuta ushindi

USSR
 
Nchi zote waandaaji wamewaachia mashabiki wa soka kuingia viwanjani kushangilia timu zao za taifa bure .

Timu shiriki zimekuja na mashabiki wamelipiwa viingilia nyie mpo busy kutoza hela nyingi sana sijui mnataka nini na idadi ya mashabiki inazidi kupungua mechi ijayo mtatazama wenyewe VIP Kwa ubahili wenu

Jana kenya kavunja record ya mashabiki juzi uganda alijaza wao wanaingiza watu bure au kuweka kiqango cha chini kabisa sio nyie elfu 20000 na 10000 na 5000 hiyo pesa hata simba na yanga hawaweki na bado huwa wanalipwa mashabiki

Usitafute faida tafuta ushindi

USSR
😂😂 Hata wanaccm hamtaki kwenda kuangalia team yenu kwa hela?
 
Back
Top Bottom