CHAN 2016 Qualifiers: Tanzania vs Uganda

CHAN 2016 Qualifiers: Tanzania vs Uganda

Alifanya makosa sana kutaka kubadilisha kila kitu pale TFF,baadhi ni haya

1.Kuvunja mkataba wa Kim Poulsen
2.Kuhamishia ofisi za TFF Posta
3.Kutaka kubadilisha jina la Taifa
4.Kubadilisha jezi za Taifa Stars
5.Ameanzisha timu inaitwa maboresho,sijui hata ina umuhimu gani
6.
7.

6.Kaongeza idadi ya wachezaji wa kigeni hadi 8
7.kakarabati uwanja wa Kaitaba
8. Mechi Zach Stars zinarushwa live
9.karuhusu mchezaji mwenye adhabu kuchagua mechi Zach kufungiwa
10.
11.
Mwingine aendeleze
 
Muda huu Kim Poulsen angekuwa mbali na Stars. Malinzi kaona mtu wa Tenga!
 
Ushundi upo.. miujiza ipo... tuendelee kuwa na matumaini
 
Tumtafute mzee Mwinyi afute ilekauli ya kichwa cha mwendawazim.

Afute kabla hajamfuata Nyerere. TUKICHELEWA AKAENDA BILAKUIFUTA NDO BASI TENA.

uko sawa,aliye tulaani bado yupo hai,afute kauli yake atunusuru na hili tatizo,akitangulia mbele ya haki ndo basi tena laana itakuwa ya milele,baba Mzee MWINYI KAMA UNAUSOMA UJUMBE HUU TUNUSURU NA KAULI YAKO ULIYOISEMA INATUTAFUNA!!!DELETE KABISA TUANZE MOJA.
 
punguza lager mkuu, mwezi mtukufu huu

Kwani mwezi ushaonekana mwinyi just kidding hommie,bila tusker ntakufa na presha nna mahaba na hii timu.
Boko anaingia kuchukua nafasi Friday.
 
6.Kaongeza idadi ya wachezaji wa kigeni hadi 8
7.kakarabati uwanja wa Kaitaba
8. Mechi Zach Stars zinarushwa live
9.karuhusu mchezaji mwenye adhabu kuchagua mechi Zach kufungiwa
10.
11.
Mwingine aendeleze

10. Mwanamke wa kwanza (incidentally wa BK) kuchezesha mechi ya Simba na Yanga Mwingine aendeleze
 
6.Kaongeza idadi ya wachezaji wa kigeni hadi 8
7.kakarabati uwanja wa Kaitaba
8. Mechi Zach Stars zinarushwa live
9.karuhusu mchezaji mwenye adhabu kuchagua mechi Zach kufungiwa
10.
11.
Mwingine aendeleze

10. Kaweka mpango wa kufungua maduka ya TFF kariakoo

11. Kaanzisha makato kwa klabu kuchangia TFF

12.
 
Back
Top Bottom