Tumtafute mzee Mwinyi afute ilekauli ya kichwa cha mwendawazim.
Afute kabla hajamfuata Nyerere. TUKICHELEWA AKAENDA BILAKUIFUTA NDO BASI TENA.
Hivi Nooj hajiulizi kwanini Plujin wa Yanga anamuweka benchi Dida? Ovyo kabisa huyu kocha
Duh mhudumu lete tusker ya baridi angalau nionyeshe uzalendo kwa kuchangia pato la Taifa.
HT
sisi 0-1 wao.
Hata akifuta haitasaidia
Malinzi wa hovyo sana huyu jamaa...
Au swaumu hawa wachezaji? Mbona legelege sana??
Kuna haja ya kuanzisha kampeni ya kumuondoa Malinzi,hakuna alichofanya toka aingie madarakani
Kuna haja ya kuanzisha kampeni ya kumuondoa Malinzi,hakuna alichofanya toka aingie madarakani
1. Didaline ups please
Mkuu Katavi, maneno huumba labda akifuta kauli tunaweza kuamka.