Malinzi na aondoke tu..hii ni aibu kwake na kwa familia yake. Mechi tano mfululizo, tunadundwa tu...Akijuuzulu tutamwelewa, aache ofisi, uchaguzi uitishwe...waje wazalendo wengine!
Aibu, aibu, aibu....sina kumbukumbu zozote kama Taifa Stars ishawahi kufungwa mechi tano mfululizo...