CHAN 2016 Qualifiers: Tanzania vs Uganda

CHAN 2016 Qualifiers: Tanzania vs Uganda

Bahati yao mechi haijachezwa Taifa Leo tungetembeza bakora kuanzia Malinzi mpaka wachezaji wake, pumbavu zao hawa, siwapendi mno nyau

Nadhani ndio maana kaipeleka mechi zenji huyu malinzi kukwepesha zomeazomea na ikiwezekana kipigo.
 
Kumbe ndo maana Dida hapewi namba anadaka mipira kama mandazi aisee
 
Tuchange pesa wakuu kumlipa kocha ili tuvunje mkataba....au mnaonaje? Uzalendo kwanza
 
Kuna haja ya kuanzisha kampeni ya kumuondoa Malinzi,hakuna alichofanya toka aingie madarakani

Alafu wakati mwingine tuache ujinga, wote tunaangalia mpira, goali hili ni DIDA amefungisha, golikipa gani unafungwa goli rahisi kabisa, badala ya kudaka mpira, yeye anatanguliza miguu na kugonga mpira. HOVYOO KABISAAA.
 
Katusaidia kupata uzi mpya!

Alifanya makosa sana kutaka kubadilisha kila kitu pale TFF,baadhi ni haya

1.Kuvunja mkataba wa Kim Poulsen
2.Kuhamishia ofisi za TFF Posta
3.Kutaka kubadilisha jina la Taifa
4.Kubadilisha jezi za Taifa Stars
5.Ameanzisha timu inaitwa maboresho,sijui hata ina umuhimu gani
6.
7.
 
Alafu wakati mwingine tuache ujinga, wote tunaangalia mpira, goali hili ni DIDA amefungisha, golikipa gani unafungwa goli rahisi kabisa, badala ya kudaka mpira, yeye anatanguliza miguu na kugonga mpira. HOVYOO KABISAAA.

Pamoja na kuwa ni kosa la Dida lakini bado timu haishawishi kama kweli inataka kutoka na ushindi.
 
Stars wanashambulia sana lakini hakuna wamaliziaji.
 
Back
Top Bottom