CHAN 2016 Qualifiers: Tanzania vs Uganda

CHAN 2016 Qualifiers: Tanzania vs Uganda

Alafu wakati mwingine tuache ujinga, wote tunaangalia mpira, goali hili ni DIDA amefungisha, golikipa gani unafungwa goli rahisi kabisa, badala ya kudaka mpira, yeye anatanguliza miguu na kugonga mpira. HOVYOO KABISAAA.
Malinzi ndio aliyemleta huyo kocha mbovu ambae anachagua wachezaji ambao wanakaa benchi kwenye klabu zao.Dida kwa sasa hastahili kuwa kipa namba moja wa Taifa Stars hata pale Yanga Barthez ndio alikuwa namba one
 
Alifanya makosa sana kutaka kubadilisha kila kitu pale TFF,baadhi ni haya

1.Kuvunja mkataba wa Kim Poulsen
2.Kuhamishia ofisi za TFF Posta
3.Kutaka kubadilisha jina la Taifa
4.Kubadilisha jezi za Taifa Stars
5.Ameanzisha timu inaitwa maboresho,sijui hata ina umuhimu gani
6.
7.
6. Kumpa likizo ya malipo katibu mkuu wa TFF
 
Huyu malinzi hajui anachokifanya, Mashindano ya AFCON na CHAN ndio mashindano makubwa africa yeye ndy anayafanyia majalibio!!!
 
Nadhani hawa wachezaji wote wapelekwe jkt wiki 2 wakitoka hapo
 
Back
Top Bottom