Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
Malinzi ndio aliyemleta huyo kocha mbovu ambae anachagua wachezaji ambao wanakaa benchi kwenye klabu zao.Dida kwa sasa hastahili kuwa kipa namba moja wa Taifa Stars hata pale Yanga Barthez ndio alikuwa namba oneAlafu wakati mwingine tuache ujinga, wote tunaangalia mpira, goali hili ni DIDA amefungisha, golikipa gani unafungwa goli rahisi kabisa, badala ya kudaka mpira, yeye anatanguliza miguu na kugonga mpira. HOVYOO KABISAAA.