CHAN 2016 Qualifiers: Tanzania vs Uganda

CHAN 2016 Qualifiers: Tanzania vs Uganda

mie leo naomba waganda washinde ili yule kocha aondoke tuu
 
Waibadilishe na Jina labda itafanya vizuri ingependeza sana ingeitwa Mirembe Stars
 
Azam tv.!

Hawa Azam nao naona hiyo chn 100 waliosema watabroascast toka saa 1:30 wameweka ratiba eti watakiwa wana kipindi cha build up ...sasa sijuhi hii ndio nini nayo wadau
 

  • Taifa Stars ikitaka kushinda kesho ipangwe hivi:

    (1) Mwadini Ally
    (2) S Kapombe
    (3) Mwinyi Haji
    (4) H Isihaka
    (5) Nadir H
    (6) J Mkude
    (7) S Mdelwa
    (8) A Banda
    (9) S. Msuva
    (10) R mandawa
    (11) Kelvin F

    Sub: H. Dilunga, A. Green​




Huyo mkude hapendwi sijui kwa nini wakati anapiga kazi balaa. Hapo kiemba anahitajika kuwasapoti hao vijana
 
Hawa Azam nao naona hiyo chn 100 waliosema watabroascast toka saa 1:30 wameweka ratiba eti watakiwa wana kipindi cha build up ...sasa sijuhi hii ndio nini nayo wadau

Tusubiri muda ukifika
 
Katika michuano ya Kombe la Mataifa barani Afrika, kwa wachezaji wa vilabu vya ndani tu.

Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars leo itakuwa katika kibarua chake cha kwanza ikivaana na Uganda The cranes.

"CHAN live ndani ya azamtv Tanzania v Uganda moja kwa moja kutoka uwanja wa Amani ZNZ, channel namba 100 saa 2 usiku,uchambuzi saa 1:30.."

Nina Matumaini makubwa kwamba Taifa Stars itashinda hii mechi kutokana na nature ya michuano.
Ubora wa wachezaji wa ligi Kuu Tanzania ni nzuri ukilinganisha na wachezaji wa ligi Kuu Uganda.

Tukumbuke kwamba The Cranes wamekuwa wakifanya vizuri kutokana na kuwa na idadi kubwa ya wachezaji wanaocheza nje.


Tutakuwa tukipeana Updates hapa za kinachoendelea hapa.

Hapo kwenye red, inamaana itarushwa bure kupitia info channel? (ile channel yao ya matangazo) au tutaipata kupitia Azam 2? Maana namba 100 ni Info Channel.
 
Leo sitaki kuharibu swaumu yangu. Siangalii Mpira wa staz. Ntajikuta nimetukana bure.
 
Hapo kwenye red, inamaana itarushwa bure kupitia info channel? (ile channel yao ya matangazo) au tutaipata kupitia Azam 2? Maana namba 100 ni Info Channel.

Hawa Azam nao naona hiyo chn 100 waliosema watabroascast toka saa 1:30 wameweka ratiba eti watakiwa wana kipindi cha build up ...sasa sijuhi hii ndio nini nayo wadau

Channel namba 100 ni Info channel.....!

Mechi itarushwa kupitia channel hiyo.!
 
Tusubiri muda ukifika

Mkuu si unajua amsha amsha sasa nao wako kimya licha hizi habari kuonekana hapa Jf tu ...sioni hata matangazo yakipita hapa chini kwenye tv
 
Bichwa la Chizi Ngoja linyolewe ...Taifa Stars ilikuwa ya Kim Poulsen. Hili babu sijui linafanya nini.

Halina plan na timu ni butua butua tuuuu afadhali ya Lipuli.

Hili litimu litafungwa hata na Abajalo!
 
mtanipa matokea siwezi kaa naangalia wasiyo jua taifa magoli.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom