CHAN 2016 Qualifiers: Tanzania vs Uganda

CHAN 2016 Qualifiers: Tanzania vs Uganda

Mnaoangalia chondechonde updates muhimu,Mungu Akijaalia zikafika 2 Kabla ya ht naenda kuangalia
 
Kwa wale mnaopata ZBC, mechi ya stars inaoneshwa live, TBC wamekausha! Matokeo ni 0-0 mpaka sasa.

Dakika ya 23 bado milango ni migumu
============
Dakika ya 25, papara za Taifa stars zinaikosesha goli muhimu sasa wanashambuliwa wao
============
Dakika ya 28 Stars wanafanya shambulio zuri lakini mipango yao inagonga mwamba.
=========
Dakika ya 36 Stars wanapoteza nafasi baada ya Erasto kupiga faulo ambayo haikuzaa matunda

Gooooooooo,Uganda wanaandika goli lakwanza Dk 38

===========
Dakika ya 45, Msuva anakosa goli la wazi kabisa.
========
Mpira ni mapumziko, Stars iko nyuma kwa goli 1 Mfungaji wa Uganda ni Sekisambu.
 
Najua tutafungwa,kama kuangalia ni kujua tu magoli tutakayofungwa
 
Bado hamna mipango mizuri kwa timu zote.
 
Back
Top Bottom