Uchaguzi 2020 Chama kinachotaka kuhudumia Watanzania, kinabagua na kuweka nongwa maendeleo yakipelekwa sehemu fulani ya nchi

Rubbish, na anaesema mkichagua wapinzani siwaletei maendeleo
 
Naomba link ya huo uzi au ushahidi wa "hansard".
 
..hoja ya msingi ni miradi kulundikwa chato, huku maeneo mengine ya Geita wakiwa watazamaji.
Hap unabadilisha hoja ya msingi, ngoja nitakutafutia clip ya Lissu aliyosema kwau uwanja ule umejengwa bila idhini ya Bunge; jambo ambalo ni upotoshaji na sometimes naona kama ni insult kwa intelligence ya watanzania.
 
Hap unabadilisha hoja ya msingi, ngoja nitakutafutia clip ya Lissu aliyosema kwau uwanja ule umejengwa bila idhini ya Bunge; jambo ambalo ni upotoshaji na sometimes naona kama ni insult kwa intelligence ya watanzania.

..bunge is just a rubber stamp ya mambo ya kihuni ya watawala.

..kama utakumbuka hata ufisadi wa kuuza nyumba za serikali ambao Magufuli alihusika alipokuwa waziri ulipitishwa na bunge.
 
Acha siasa uchwara, Lisu alisema serikali haiwezi kuvunja mikataba ya madini kwani MIGA itawahusu, na kweli ni mkataba upi walivunja? Report za makinikia zilikuwa za kubumba tu, kikao cha wataalam kilichokutanisha pande zote mbili hatukuweza kuthibitisha wizi wowote kuhusu uchimbaji madini, ndio maana walisema watatoa pesa kama za urafiki mwema. Zile Noah za kila mtu nadhania zishafika na sasa wanazifanyia clearance bandarini.
 
Dah. Na Noah yangu imo humo humo melini?
 
Ni YEYE anaewaaminisha wafuasi wake kuwa CCM wabaya kumbe ni baniani ...maaana amekiri mwenyewe ndege iliyompeleka Nairobi matibabu imelipiwa na mwana CCM. RIP Mr. White.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…