Uchaguzi 2020 Chama kinachotaka kuhudumia Watanzania, kinabagua na kuweka nongwa maendeleo yakipelekwa sehemu fulani ya nchi

Huyu mpuuzi tu anajua hawezi kupata urais anachotaka ni kutuharibia nchi kisha aende kwa mahawala zake Ulaya.

Ni YEYE aliyebeza ripoti ya makinikia akasema tutashitakiwa MIGA.

Ni YEYE aliyebeza jitihada za kupambana na uhaini Kibiti.

Ni YEYE asiyeamini katika maendeleo ya vitu na ndiyo maana chama chake hakina ofisi maalumu ya makao makuu

Ni YEYE anayedhani maendeleo ya watu hayahitaji maendeleo ya vitu.

Ni YEYE mropokaji asiyejielewa anaongoza nyumbu wenzie wasiojitambua
Mataga mmebaki kama kuku aliyekatwa kichwa!Hahahaaa mgombea wenu kaipata leo huko Kagera😁😁😁!Heko watu wa kagera kwa kumnyoosha huyo jamaa!
 
Kwa mfano tu alitamka waziwazi Kilimanjaro wasubiri na kweli huko hakuna chochote kinachoendelea ni ubaguzu wa kiwango kibaya na haukubaliki nchi hii.
😂
Nilijua tu, lkn embu tukumbushane tu kama Taifa moja, tukianza kupima Kwa namna hii tutajikuta kumbe Miradi mingi ipo Kwa watu wa Dar pekee, huku tukisahau kwamba, Arusha ndio kwenye mradi wa maji wa kihistoria na wenye gharama kubwa kuliko pahala pengine Tz
Ndio ambako miaka zaidi ya ishiri treni ilikuwa imestisha safari zake na sasa treni Unakwenda n.k
 
😂
Nilijua tu, lkn embu tukumbushane tu kama Taifa moja, tukianza kupima Kwa namna hii tutajikuta kumbe Miradi mingi ipo Kwa watu wa Dar pekee, huku tukisahau kwamba, Arusha ndio kwenye mradi wa maji wa kihistoria na wenye gharama kubwa kuliko pahala pengine Tz
Ndio ambako miaka zaidi ya ishiri treni ilikuwa imestisha safari zake na sasa treni Unakwenda n.k
Ni mbaya sana kusimamisha maendeleo ya watu fulani kwa chuki binafsi, ameonesha kuwa ni mkabila, mkanda na mbaguzi mkubwa na mengi yanaendelea kujulikana. Hivi karibuni Lissu amefungua watu macho kumbe aliyepewa tenda ya ujenzi wa Kigogo-Busisi ni shemeji na pia anayeidhinisha fedha za miradi mikubwa ni mpwa wa mtu. Yapo mengi na yatajulikana yote ndio watu watamjua mtu huyu vizuri. Watu wameanza kuelewa kwanini vyombo vya habari viliminywa sana, kumbe....!
 
Hivi wewe akili yako iko sawa kwakuwa chato ndiko anatoka Rais ndiyo kujengwe uwanja wa ndege utakaukuwa unamika mara 2 kwa mwaka na ndege ya Rais peke yake hivi hayo ndiyo matumizi sahihi ya rasilimali zetu. Kuna wakazi wangapi hapo chato hadi kujengewa uwanja wa Ndege wa kimataifa.

Huo ndio unaitwa ufisadi kwa maneno mengine sababu hizo pesa zimetumika vibaya zingeweza kujenga uwanja wa kimataifa sehemu ambayo ina wakazi wengi na ni makao makuu ya mkoa siyo huko kijijini, mbona kule lupaso hakuna kiwanja cha ndege. Kutetea ufisadi ni hadi ya nyumbu wa kijani
 
Total c'rap.
Ingekuwa Lissu anachukia maendeleo ya Chato na kanda ya ziwa kwa ujumla angeponda hata zile meli zilizoundwa na serikali hii kwa ajili ya kuhudumia wananchi wanaozunguka ziwa Victoria. Yeye anapongelea economic gains za uwanja wa kimataifa wa ndege wa chato. Una manufaa gani wakati tayari tunao ule wa Mwanza? Mwanza na Chato pana umbali gani wa kuhitaji viwanja viwili hapa na hapa?
 
Huyu mpuuzi tu anajua hawezi kupata urais anachotaka ni kutuharibia nchi kisha aende kwa mahawala zake Ulaya.

Ni YEYE aliyebeza ripoti ya makinikia akasema tutashitakiwa MIGA.

Ni YEYE aliyebeza jitihada za kupambana na uhaini Kibiti.

Ni YEYE asiyeamini katika maendeleo ya vitu na ndiyo maana chama chake hakina ofisi maalumu ya makao makuu

Ni YEYE anayedhani maendeleo ya watu hayahitaji maendeleo ya vitu.

Ni YEYE mropokaji asiyejielewa anaongoza nyumbu wenzie wasiojitambua

Kwani hatujashtakiwa umemuuliza AG akakwambia hatujashitakiwa au unaropoka tu bila hata kuelewa
 
Total c'rap.
Ingekuwa Lissu anachukia maendeleo ya Chato na kanda ya ziwa kwa ujumla angeponda hata zile meli zilizoundwa na serikali hii kwa ajili ya kuhudumia wananchi wanaozunguka ziwa Victoria. Yeye anaongelea economic gains za uwanja wa kimataifa wa ndege wa chato. Una manufaa gani wakati tayari tunao ule wa Mwanza? Mwanza na Chato pana umbali gani wa kuhitaji viwanja viwili hapa na hapa? Mbona wa Arusha haujapanuliwa kulingana na ule wa KIA?
 
Uwanja wa Chato ulipitishwa na Bunge; labda tu uulize zabuni, lakini bajeti ya uwanja wa Chato iko kwenye hansard za bunge wazi kabisa. Niliwahi kuzileta hapa miezi kadhaa iliyopita mpaka watu akazidi kukasirika kwa nini bunge lilipitisha vile; wakabaki kulilalamika tu kuwa kwa nini uwanja huo haukujengwa Geita mjini badala yake ukajengwa Chato. Hili ni swali jingine lakini siyo kuwa haukupitishwa na Bunge; ni vizuri kuongea mambo ukiwa na data kamili kuliko kuongeza kwa hisia tu.

Kwani hoja siku zote si ndiyo hiyo ya kwanini umejengwa chato ambako hakuna population ya kujustfy ujenzi wa uwanja wa kimataifa
 
Uwanja wa Chato ulipitishwa na Bunge; labda tu uulize zabuni, lakini bajeti ya uwanja wa Chato iko kwenye hansard za bunge wazi kabisa. Niliwahi kuzileta hapa miezi kadhaa iliyopita mpaka watu akazidi kukasirika kwa nini bunge lilipitisha vile; wakabaki kulilalamika tu kuwa kwa nini uwanja huo haukujengwa Geita mjini badala yake ukajengwa Chato. Hili ni swali jingine lakini siyo kuwa haukupitishwa na Bunge; ni vizuri kuongea mambo ukiwa na data kamili kuliko kuongeza kwa hisia tu.

..hakuna mbunge wa ccm aliyekuwa na ujasiri wa kupinga Magufuli kujengewa uwanja wa ndege kijijini kwao.
 
Acha uongo!

*Taja wilaya nyingine nchini yenye kiwanja cha ndege kama cha Chato!
*Taja wilaya nyingine ambayo kunafanyika mpango wa kujenga hospitali kubwa ya rufaa ya kuhudumia kanda nzima!
*Taja wilaya nyingine nchini ambapo kuna mpango wa kujenga uwanja mkubwa wa kimataifa wa mpira wa miguu!

Marais waliotangulia wangeamua wajenge viwanja vijijini kwao nchi hii ingekuwaje?

Kuna miradi kama Barabara, shule, hospitali, maji nk yenye kufanana na hiyo hakuna mtu amestuka wala kuhoji!

Ila miradi inayofanyika Chato ni ya ziada, ni mzigo kwa taifa! Ukiangalia sio kila mkoa nchini una kiwanja chenye hadhi kama ya Chato!

>>Je, kuna uhusiano wowote wa Rais kutokea Chato na miradi hiyo kwenda Chato au ni coincedence tu?
Kwani chato ipo burundi? Wanaishi chato sio watanzania?
 
Kwani hoja siku zote si ndiyo hiyo ya kwanini umejengwa chato ambako hakuna population ya kujustfy ujenzi wa uwanja wa kimataifa
Hapana hiyo siyo hoja iliyozungumzwa na Lissu pamoja na wafuasi wake wote; wao wanasema kuwa umejengewa bila kuidhinishwa na Bunge, yaani rais alijiamulia tu! Na hapo ndipo ninapoona wote hao ni mbugila tupu.
 
Uwanja wa Chato ulipitishwa na Bunge; labda tu uulize zabuni, lakini bajeti ya uwanja wa Chato iko kwenye hansard za bunge wazi kabisa. Niliwahi kuzileta hapa miezi kadhaa iliyopita mpaka watu akazidi kukasirika kwa nini bunge lilipitisha vile; wakabaki kulilalamika tu kuwa kwa nini uwanja huo haukujengwa Geita mjini badala yake ukajengwa Chato. Hili ni swali jingine lakini siyo kuwa haukupitishwa na Bunge; ni vizuri kuongea mambo ukiwa na data kamili kuliko kuongeza kwa hisia tu.
Hayo ndio manufaa ya bunge live
 
Hamna lolote! Acacia ilikuwa ni subsidiary ya Barrick, halafu Barrick ikaamua kuingilia kati na kuidissolve Acaia, badala yake ikakubaliana na serikali kuundwa kwa Twiga. Kwa hiyo mpaka sasa hivi tunavyoongea Acacia ni nonexitent entity, na iwapo Barrick walikubaliana na serikali, na tayari wameshailipa serikali sehemu ya zile damages, sijui ni nani atapeleka mashitaka hayo unayohofia zaidi kuliko kutunza raslimali zako. Yaani kuogopa kushitakiwa kwa kulinda mali zako inakuwa ni tatizo kweli jamani? Tanzania tulipigania uhuru dhidi ya umoja wa mataifa halafu leo tuogope kupigania raslimali zetu kutoka makampuni ya watu binafsi kweli?

Anayeogopa kushitakiwa kuingia ndani ya nyumba yake akaamua kubaki nje usiku kucha hasitahili kumiliki nyumba hiyo!

Usitufanye wajinga wote serikali ya CCM itengeneze tatizo la kusaini mikataba mibovu watu wavune rasilimali zetu miaka nenda rudi serikali ya CCM ikiwa inatawala muda wote halafu aje mmoja aseme anakamata makinikia ambayo yanasafirishwa kwa mujibu wa mkataba uliosainiwa na serikali ya CCM hivi hapo kuna mtu anapigania madini kweli. Tutumie akili kufikiria tusitumie kuvukia barabara tu
 
..hakuna mbunge wa ccm aliyekuwa na ujasiri wa kupinga Magufuli kujengewa uwanja wa ndege kijijini kwao.
Basi na wewe pia hujui kilichopitishwa na Bunge. Muswada ulikuwa ni ujenzi wa regional airport ya mkoa wa Geita, muswada haukusema uwanja ujengwe katika eneo lipi. Hivyo ndivyo muswada ulivyopitishwa, halafu Bunge halikutaka kujua uwanja huo utajengwa wapi, na kuacha swala la kuamua pa kujenga uwanja liwe chini ya Wizara. Sioni kama kuna sheria au taratibu zozote zilizovunjwa. Wizara iakaamua kuujenga Chato!!!!
 
Hayo ndio manufaa ya bunge live
On top of that, ni mbunge gani wa chama tawala angekuwa na guts za kupinga ujenzi wa uwanja wa ndege Chato? Kama marehemu Samwel Sitta alishapokonywa kadi ya uanachama kwa kuibana serikali kwenye EPA, Ndugai angeponea wapi? Mbunge gani wa CCM huwa anapinga hoja bungeni? Ndio sababu tulio wengi tunatilia shaka kwamba huenda bunge lijalo likabadili katiba ili mzee baba awe raisi wa MUYAYA kama Museveni na Kagame. Hili nalo laja soon.
 
Usitufanye wajinga wote serikali ya CCM itengeneze tatizo la kusaini mikataba mibovu watu wavune rasilimali zetu miaka nenda rudi serikali ya CCM ikiwa inatawala muda wote halafu aje mmoja aseme anakamata makinikia ambayo yanasafirishwa kwa mujibu wa mkataba uliosainiwa na serikali ya CCM hivi hapo kuna mtu anapigania madini kweli. Tutumie akili kufikiria tusitumie kuvukia barabara tu
Kuna thread hii hapa; nadhani inakufaa sana wewe

Wapenzi wa CHADEMA ndio kundi la watu wenye hasira sana kwa sasa
 
Back
Top Bottom