Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,560
Mataga mmebaki kama kuku aliyekatwa kichwa!Hahahaaa mgombea wenu kaipata leo huko Kagera😁😁😁!Heko watu wa kagera kwa kumnyoosha huyo jamaa!Huyu mpuuzi tu anajua hawezi kupata urais anachotaka ni kutuharibia nchi kisha aende kwa mahawala zake Ulaya.
Ni YEYE aliyebeza ripoti ya makinikia akasema tutashitakiwa MIGA.
Ni YEYE aliyebeza jitihada za kupambana na uhaini Kibiti.
Ni YEYE asiyeamini katika maendeleo ya vitu na ndiyo maana chama chake hakina ofisi maalumu ya makao makuu
Ni YEYE anayedhani maendeleo ya watu hayahitaji maendeleo ya vitu.
Ni YEYE mropokaji asiyejielewa anaongoza nyumbu wenzie wasiojitambua