Kirikou Wa Kwanza
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 3,564
- 1,992
Mimi napita tu cuf ndio chama pekee has a kwa Zanzibar kinacho kubalika na ndio kilicho shinda uchaguzi sasa mbinu tu tens zakitoto dunia mzima inajuwa ccm ndio chama cha Fujo na uvunjifu wa amani Pemba watu wametulia wanafanya shughuli zao lakini kwa makusudi ccm wamepeleka mazombi wakaanza kupiga watu na kutia moto Nyumba sasa kama uchaguzi si wamtangaze sheni kuwa rais sasa kupiga watu dah Africa kweli tumeumbwa kuwa watumwa tu kazi tunayo iweza na kuuwana na kucheza ngoma
Bibie tunapojadili haya mambo tujifunze kuweka ushabiki pembeni.
Wewe umewaona hao Mazombie tu?! Vipi hawa wanaochukua mabomu na kwenda kulipua kwenye nyumba za wakuu wa usalama? Vipi hawa wanaochoma ofisi na nyumba za wanachama wa CCM, hawa huwaoni, au ushabiki umekutia upofu?