Hakuna mjinga mjinga yeyote anaeweza kuifuta cuf .kwanza cuf sio chama cuf ni nchi ya zanzibar
Kwa hiyo kama unaweza kuifuta nchi ya zanzibar hapo ndio unaweza .cuf sio makaratasi kama unavozani cuf ni rai wote wa zanzibar .maalim seif kafanikiwa kutawala nyoyo za wazanzibari .
Mfalme wa kweli ni yule anaetawala nyoyo za raia wake na wala sio wanaotawala raia kwa vifaru .
Wewe ni sehemu ya wale m.mungu aliowapa jina la "mufsiduna fil ardhi " ni wanaoleta ufisadi katika ardhi .hakuna aliedhani siku moja east timor ingepata uhuru wake kutokabindoneshia .
Asie na dola ana mungu .
Pauliwapo nyoka hapokosi muombezi .
Nadhani wewe ni katika wale unaodhani hayo mambo yanayoendelea znz yanaijenga zanzibar .
Wewe na ccm ni waoga na hamewezi changamoto ya upinzani wa kweli .
Ukweli nibkwamba mnasaidiwa na mambo mawili ndio mana mtu jama ww unakua na mdomo mrifu
1) katiba na sheria kandamizi za uchaguzi
2) vyombo vya dola
Kwa hiyo kama unaweza kuifuta nchi ya zanzibar hapo ndio unaweza .cuf sio makaratasi kama unavozani cuf ni rai wote wa zanzibar .maalim seif kafanikiwa kutawala nyoyo za wazanzibari .
Mfalme wa kweli ni yule anaetawala nyoyo za raia wake na wala sio wanaotawala raia kwa vifaru .
Wewe ni sehemu ya wale m.mungu aliowapa jina la "mufsiduna fil ardhi " ni wanaoleta ufisadi katika ardhi .hakuna aliedhani siku moja east timor ingepata uhuru wake kutokabindoneshia .
Asie na dola ana mungu .
Pauliwapo nyoka hapokosi muombezi .
Nadhani wewe ni katika wale unaodhani hayo mambo yanayoendelea znz yanaijenga zanzibar .
Wewe na ccm ni waoga na hamewezi changamoto ya upinzani wa kweli .
Ukweli nibkwamba mnasaidiwa na mambo mawili ndio mana mtu jama ww unakua na mdomo mrifu
1) katiba na sheria kandamizi za uchaguzi
2) vyombo vya dola