Challenge ya kusave pesa UTT

Challenge ya kusave pesa UTT

30 yrs ago ungeweka hiyo pesa ya kulima miti UTT mda huu ungekuwa unapanga route za ndege yaani ungekuwa full booked kwenda kula pension yako🤗🤗🤗

Tuseme uliwekeza 15,000,000/ tu huko shambani kwako kwa hesabu za UTT calculator kwa lowest intrest rate ya 12% ungekuwa umezalisha 434,398,831.81 ukijumlisha na hiyo million 15 unapata 449,398,831.81 hii hela unaipata wewe bila kufanya chochote ndani ya hiyo miaka 30.

#Tukutana 2040 panapo majaliwa tutakuwa tunashift fights tu leo Amstardam kesho Paris keshokutwa Cape town mtondogoo Dubai.Ni humu tu🤫🤫🤫
Hesabu sio sahihi.
 
Hapo sawa ngoja niifatilie hii nikaweka huko hata kamillion 20 katanifaa uzeeni.

Naomba link ya hiyo Government bond na wapi hasa ofisi zao zipo niende for more information.🤝
Find a broker (I can help with that) then fungua CDS account. Calendar ya govt bond inapatikana kwenye website ya BoT. All the best mkuu. You are on the right path and I am sure you will definetely win
 
Ikiwa umehamasika sana na unapesa hapo na kuna jini a.k.a kimada a.k.a mchepuko unataka mkaspend hilo jasho lako.Nakushauri sitisha hilo wazo.

Chakufanya ingia play store andikia UTT AMIS download hiyo app kisha install.

Piga *150*82# jiunge na mfuko wa UKWASI na utaweza kufungua account UTT hapo utaokoa hiyo pesa isiliwe na huyo jini.
Kwa mfano mm ni mtumishi ,unanishaur nijiunge n mfuko gani nipate faid kidgkdgo japo ntkuw naivest kdgkdgo baad y kupta mshahar
 
ndio ila intrest za benki hazivuki 9% wakati ya UTT ni 12% mpaka 15%.Mtu aliyewekeza UTT bado anafaida zaidi kuliko aliyewekeza benki.
Mnaongelea nominal interest wakati kuna inflation boss.
Real gaining sio 15% ila ni 15 - 4 = 11%

Kwasababu
Real Interest = Nominal Interest - Inflation.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Wadau wa maendeleo hasa wanaume tukutane hapa kutekeleza hii challenge.

Mimi nimeanza kwa kutoa pesa zote benki na kupeleka UTT UKWASI FUND na BOND FUND nimeweka huko.Panapo majaaliwa tukutane at 40.Life starts at 40.

Baada ya comulative interest za miaka kama 15 hivi.Ntakuwa na uwezo wa kutimiza ndoto zangu za kwenda kuizunguka Dunia.Mimi ni mpenzi wa adventure.

Pia kila mwisho wa mwezi nimejiwekea ka utaratibu ka kutupia vilaki kadha huko UTT.

Pia kwa umri huo ntakuwa naitwa Daddy😀😀😀hapo chacha ni mwendo wa kula na kunywa.Na kwa kiasi fulani ntawaachia wanangu kaurithi na wenyewe waendeleze nilipoishia.

Wakulungwa karibuni kwenye Challenge!!!!

#M.O.B NIGGERS!!!
Mimi nimeamua kuendeleza eneo aliloliacha baba. Kila mwezi nanunua mbuzi mmoja jike nataka nione baada ya miaka mitano nitkua na mbuzi wangapi
 
Mnaongelea nominal interest wakati kuna inflation boss.
Real gaining sio 15% ila ni 15 - 4 = 11%

Kwasababu
Real Interest = Nominal Interest - Inflation.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Ndio maana kuna post nimeandika kila uwekezaji una RISK ZAKE!!!

Hujalazimishwa kujiunga UTT wewe nenda kawekeze unapoona panakufaa sisi wengine hatupendi kubeti/kurisk high so UTT ni nzuri zaidi na zaidi.
 
Mimi nimeamua kuendeleza eneo aliloliacha baba. Kila mwezi nanunua mbuzi mmoja jike nataka nione baada ya miaka mitano nitkua na mbuzi wangapi
Kweli upo sahihi kama mazingira yako ynakuruhusu huo nao ni uwekezaji.

Kwa sisi wa mijini na tusio na muda wa kwenda shamba UTT ni mkombozi.
 
Mimi nauliza UTT na Hisa za DSE ipi Bora ?
 
Back
Top Bottom