Challenge ya kusave pesa UTT

Challenge ya kusave pesa UTT

30 yrs ago ungeweka hiyo pesa ya kulima miti UTT mda huu ungekuwa unapanga route za ndege yaani ungekuwa full booked kwenda kula pension yako🤗🤗🤗

Tuseme uliwekeza 15,000,000/ tu huko shambani kwako kwa hesabu za UTT calculator kwa lowest intrest rate ya 12% ungekuwa umezalisha 434,398,831.81 ukijumlisha na hiyo million 15 unapata 449,398,831.81 hii hela unaipata wewe bila kufanya chochote ndani ya hiyo miaka 30.

#Tukutana 2040 panapo majaliwa tutakuwa tunashift fights tu leo Amstardam kesho Paris keshokutwa Cape town mtondogoo Dubai.Ni humu tu🤫🤫🤫
Duu nimekuwa interested sana ngoja na mimi nianze kuwekeza kidogo kidogo
 
UTT wanainvest kwenye government bonds significantly. Obtian their Financial statements uone mkuu.
Government bonds maximum investment period ni 25yrs na wanatoa return kubwa zaidi compared to UTT. PI unaweza kuzitumia bonds kama collateral ya mkopo bank.
Hapo sawa ngoja niifatilie hii nikaweka huko hata kamillion 20 katanifaa uzeeni.

Naomba link ya hiyo Government bond na wapi hasa ofisi zao zipo niende for more information.🤝
 
Duu nimekuwa interested sana ngoja na mimi nianze kuwekeza kidogo kidogo
Hujachewa kiongozi ukifika makao makuu yao pale SUKARI HOUSE posta- Daslam utapata kiwewe zaidi😂😂😂

Yaani utatamani urudishe siku nyuma ufanye uwekezaji chapu kisha uzipeleke mbele kufika leo ili uone matunda ya uwekezaji wako🤝

#Information is Power!!!
 
UTT wanainvest kwenye government bonds significantly. Obtian their Financial statements uone mkuu.
Government bonds maximum investment period ni 25yrs na wanatoa return kubwa zaidi compared to UTT. PI unaweza kuzitumia bonds kama collateral ya mkopo bank.
UTT inapendwa kwa sababu inafanya Compounding interest,kitu ambacho hakifanyiki kwenye bond za serikali..wao watakupa gawio ambalo ni constant miaka yote 25..
 
UTT inapendwa kwa sababu inafanya Compounding interest,kitu ambacho hakifanyiki kwenye bond za serikali..wao watakupa gawio ambalo ni constant miaka yote 25..
Duh kama haina compaund hiyo hainifai maana pesa zangu za madafu mimi nataka COMPOUND TU!!!
 
30 yrs ago ungeweka hiyo pesa ya kulima miti UTT mda huu ungekuwa unapanga route za ndege yaani ungekuwa full booked kwenda kula pension yako🤗🤗🤗

Tuseme uliwekeza 15,000,000/ tu huko shambani kwako kwa hesabu za UTT calculator kwa lowest intrest rate ya 12% ungekuwa umezalisha 434,398,831.81 ukijumlisha na hiyo million 15 unapata 449,398,831.81 hii hela unaipata wewe bila kufanya chochote ndani ya hiyo miaka 30.

#Tukutana 2040 panapo majaliwa tutakuwa tunashift fights tu leo Amstardam kesho Paris keshokutwa Cape town mtondogoo Dubai.Ni humu tu🤫🤫🤫
Ngoja na Mimi nianze kuweka
 
Back
Top Bottom