Challenge ya kusave pesa UTT

Challenge ya kusave pesa UTT

Inaruhusiwa kufungua mifuko zaidi ya mmoja?
Ruksa shekhe ni wewe na pesa zako tu.

Ila kuna mifuko yenye low risk na mifuko yenye moderate risk.

Kwa sisi masikini kuelekea kipato cha kati na pesa zetu za kudunduliza huwa wanashauri ufungue mifuko yenye low risk kama LIQUID/UKWASI FUND na BOND FUND.
 
Wadau wa maendeleo hasa wanaume tukutane hapa kutekeleza hii challenge.

Mimi nimeanza kwa kutoa pesa zote benki na kupeleka UTT UKWASI FUND na BOND FUND nimeweka huko.Panapo majaaliwa tukutane at 40.Life starts at 40.

Baada ya comulative interest za miaka kama 15 hivi.Ntakuwa na uwezo wa kutimiza ndoto zangu za kwenda kuizunguka Dunia.Mimi ni mpenzi wa adventure.

Pia kila mwisho wa mwezi nimejiwekea ka utaratibu ka kutupia vilaki kadha huko UTT.

Pia kwa umri huo ntakuwa naitwa Daddy😀😀😀hapo chacha ni mwendo wa kula na kunywa.Na kwa kiasi fulani ntawaachia wanangu kaurithi na wenyewe waendeleze nilipoishia.

Wakulungwa karibuni kwenye Challenge!!!!

#M.O.B NIGGERS!!!
Elezea hiyo ukwasi ya utt...nikiweka million 230 napata kiasi gani kwa mwezi
 
Hongera mkuu
mzabzab pitia hichi kitabu kuna madini mengi ila kama upo Daslam nenda posta kwenye jengo la SUKARI HOUSE.Hapo ndipo makao makuu ya UTT.

Utapata elimu au kijisemina kifupi kama nusu saa ndani ya kumbi zao zilizo nadhifu full kiyoyozi na utaelewa kiundani.Elimu yao ni bure.

Pia kwa hapo makao makuu utapata huduma zote.

📌Beba pasport size na kitambulisho cha nida na account namba za benki unazotaka uwe unapokelea pesa.

wapo wazi siku za kazi na jumamosi mpaka saa nane mchana.
 
Back
Top Bottom