Challenge ya kusave pesa UTT

Challenge ya kusave pesa UTT

UTT wana matawi mikoani?
ndio,

📍Mbeya- NHIF TOWER Gorofa ya 3
📍Arusha- NGORONGORO CONSERVATION BUILDING, Gorofa ya4
📍MWANZA-JENGO LA NSSF, Gorofa ya Mazzanine.
📍ZANZIBAR- JENGO LA THABIT KOMBO, Gorofa ya 3
📍DODOMA- JENGO LA PSSSF, Gorofa ya 6.

📌WAKALA WA UTT;
All CRDB Branches

📌All DSE offices
 
Jazba ya Nini mkuu?
Kwanini usiJibu nilichokuuliza?
Nenda UTT,wewe si upo hapo kariakoo unamuda wa kwenda kwa michepuko unakosaje muda wa kwenda posta.

Huna muamko wa uwekezaji na maswali yako hayana msingi.

Nakushauri nenda kwenye uzi wa kimasihara, huko watakupa mbinu za kuchepuka na mambo kama hayo.
 
Back
Top Bottom