Challenge ya kusave pesa UTT

Challenge ya kusave pesa UTT

Nililimamiti 30 yrs ago na sasa nikitakakuuza ni 8,000/=. Naamini ni upuuzi mtupu kuinvest katika kilimo cha miti
30 yrs ago ungeweka hiyo pesa ya kulima miti UTT mda huu ungekuwa unapanga route za ndege yaani ungekuwa full booked kwenda kula pension yako🤗🤗🤗

Tuseme uliwekeza 15,000,000/ tu huko shambani kwako kwa hesabu za UTT calculator kwa lowest intrest rate ya 12% ungekuwa umezalisha 434,398,831.81 ukijumlisha na hiyo million 15 unapata 449,398,831.81 hii hela unaipata wewe bila kufanya chochote ndani ya hiyo miaka 30.

#Tukutana 2040 panapo majaliwa tutakuwa tunashift flights tu leo Amstardam kesho Paris keshokutwa Cape town mtondogoo Dubai.Ni humu tu🤫🤫🤫
 
Ikiwa umehamasika sana na unapesa hapo na kuna jini a.k.a kimada a.k.a mchepuko unataka mkaspend hilo jasho lako.Nakushauri sitisha hilo wazo.

Chakufanya ingia play store andikia UTT AMIS download hiyo app kisha install.

Piga *150*82# jiunge na mfuko wa UKWASI na utaweza kufungua account UTT hapo utaokoa hiyo pesa isiliwe na huyo jini.
 
IMG_20250808_142120_144.jpg

📌Humo wameelezea jinsi ya kujiunga.

#Lakini ili usajili ukamilike inabidi ufike ofisini kwao.
 
30 yrs ago ungeweka hiyo pesa ya kulima miti UTT mda huu ungekuwa unapanga route za ndege yaani ungekuwa full booked kwenda kula pension yako🤗🤗🤗

Tuseme uliwekeza 15,000,000/ tu huko shambani kwako kwa hesabu za UTT calculator kwa lowest intrest rate ya 12% ungekuwa umezalisha 434,398,831.81 ukijumlisha na hiyo million 15 unapata 449,398,831.81 hii hela unaipata wewe bila kufanya chochote ndani ya hiyo miaka 30.

#Tukutana 2040 panapo majaliwa tutakuwa tunashift fights tu leo Amstardam kesho Paris keshokutwa Cape town mtondogoo Dubai.Ni humu tu🤫🤫🤫
Tuseme ukweli, mambo ya Bond au UTT tumeyajua tulipostaafu! Kama tungejua zamani naamini tusingejenga nyumba hizi zinazotugharimu sasa hivi
 
Njia ya mafanikio ni siri,

huyu ni winger asiyelipwa 😳
Silipwi chochote na sihitaji kulipwa ninasaidia wanaotaka kuelekezwa na kuelewa jinsi ya kuwekeza.

Nchi yetu inashida ya LACK OF PROPER INFORMATION na SOURCES OF INFORMATION na pia ina shida ya watu wengi kukosa proper FINANCIAL EDUCATION.

Ulitegemea umuone Mwijaku au Babalevo ndio anafanya PR ila my friend make no mistake about it,i'm above your league!!!

Nakushauri ujikite kujifunza zaidi kuliko kunishambulia pasina faida yoyote.

#Tunakushukuru kwa mchango wako pia.
 
Tuseme ukweli, mambo ya Bond au UTT tumeyajua tulipostaafu! Kama tungejua zamani naamini tusingejenga nyumba hizi zinazotugharimu sasa hivi
Mkuu pole sana ila hujachelewa.

Wengine tumeona faida zake ikiwepo SECURITY ya uhakika wa pesa za mteja hivyo nimeamua kujitolea sadaka yangu kuwasanua Vijana wenzangu.
 
Wadau wa maendeleo hasa wanaume tukutane hapa kutekeleza hii challenge.

Mimi nimeanza kwa kutoa pesa zote benki na kupeleka UTT UKWASI FUND na BOND FUND nimeweka huko.Panapo majaaliwa tukutane at 40.Life starts at 40.

Baada ya comulative interest za miaka kama 15 hivi.Ntakuwa na uwezo wa kutimiza ndoto zangu za kwenda kuizunguka Dunia.Mimi ni mpenzi wa adventure.

Pia kila mwisho wa mwezi nimejiwekea ka utaratibu ka kutupia vilaki kadha huko UTT.

Pia kwa umri huo ntakuwa naitwa Daddy😀😀😀hapo chacha ni mwendo wa kula na kunywa.Na kwa kiasi fulani ntawaachia wanangu kaurithi na wenyewe waendeleze nilipoishia.

Wakulungwa karibuni kwenye Challenge!!!!

#M.O.B NIGGERS!!!
Uamuzi mzuri kabisa. Hongera.
Diversfication ni muhimu sana. Chungulia na G'vt Bonds
 
Wadau wa maendeleo hasa wanaume tukutane hapa kutekeleza hii challenge.

Mimi nimeanza kwa kutoa pesa zote benki na kupeleka UTT UKWASI FUND na BOND FUND nimeweka huko.Panapo majaaliwa tukutane at 40.Life starts at 40.

Baada ya comulative interest za miaka kama 15 hivi.Ntakuwa na uwezo wa kutimiza ndoto zangu za kwenda kuizunguka Dunia.Mimi ni mpenzi wa adventure.

Pia kila mwisho wa mwezi nimejiwekea ka utaratibu ka kutupia vilaki kadha huko UTT.

Pia kwa umri huo ntakuwa naitwa Daddy😀😀😀hapo chacha ni mwendo wa kula na kunywa.Na kwa kiasi fulani ntawaachia wanangu kaurithi na wenyewe waendeleze nilipoishia.

Wakulungwa karibuni kwenye Challenge!!!!

#M.O.B NIGGERS!!!
Ukifka hata 10 nichape ukiwa hai
Mungu funding
Annika wosia kama unawatotoo nakamabado mawazoyako n hayoo
 
nenda maendeleo
UUnswekezaunapewafaidayakosameday
Ubaki na akilizako ukimaliza mwaka unachukua.mzigo wako wa Faidakamakawaidaa
 
UTT wanainvest kwenye government bonds significantly. Obtian their Financial statements uone mkuu.
Government bonds maximum investment period ni 25yrs na wanatoa return kubwa zaidi compared to UTT. PI unaweza kuzitumia bonds kama collateral ya mkopo bank.
Sawa mkuu🤝 ila kwa haraka haraka UTT na hizo government bonds ambao wote wanawekeza kwenye hati fungani za mpaka miaka 35 kama sijakosea wako sawa tu.
 
Faida ya UTT pesa yako inazaa.
Benki pesa yako haizai.

Faida ya UTT pesa haina makato.
Benki pesa ina katwa charges za mwezi na kila ukitoa.

Faida ya UTT pesa yako ukihitaji unapata ndani ya siku 3 kwa LIQUID FUND na kwa BOND FUND unapata ndani ya siku 10.
Benki pesa unapata muda wowote ila kuna kiasi huwezi kutoa mpaka maelezo ya kueleweka.

Faida za UTT pesa utatoa hata yote hawana kikwazo na UTAAMUA MWENYEWE WAKUWEKEE KATIKA ACC. GANI YA BENKI.

FAIDA YA UTT sio rahisi kutoatoa pesa hovyo kwasababu pesa inatolewa tu ndani ya siku za kazi.
Benki ni rahisi kutoatoa pesa hovyo kwa wale wasio na nidhamu ya pesa.

#UTT ndio mkombozi kwa wachumi na wajanja.
mbona kama mtu wa SALES? min -me
 
Back
Top Bottom