BEZO JR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2023
- 2,575
- 6,326
Hata UTT nao hupeleka hela kwenye Hisa,Saivi habari ya Mjini ni HISA 😂😂😂
Hata UTT nao hupeleka hela kwenye Hisa,Saivi habari ya Mjini ni HISA 😂😂😂
hIyo itakuwa BOND FUNDUli save liquid bond(ukwasi fund) sio boss?
Ahaa sawahIyo itakuwa BOND FUND
Umenena vyema ndgMkuu yote tunayafanya kujihami. Kuitafuta nafuu ya kesho ambayo hata hatujui kama tutakuwepo!
So wewe mwache apambane. akifanikiwa, heri, yakienda vinginevyo atakung'uta kanzu na kusonga mbele. Ndo maisha ya uwekezaji. Nothing is certain. Ila lazima uhangaike.