Challenge ya kusave pesa UTT

Challenge ya kusave pesa UTT

Kuna wadau hapo juu wamekufafanulia vzr , moja kuna sheria ambayo inalinda hii mifuko na serikali haiwezi kuingilia wala kufanya chochote isipokuwa kutengeneza mazingira wezeshi tu ,pili uhakika wa kuendelea kupata faida - kwasababu wanawekeza kwenye biashara ambazo ni uhakika wa interest mfano bonds za benki kuu na bonds za mabenki.Ndio maana taasisi kama UTT ilianza toka mwaka 2003 hivi na leo ina miaka zaidi ya 22 sokoni , ila ajabu inapiga kazi miaka yote hiyo na hakuna ambaye amewahi kuripoti kuibiwa wala kutapeliwa.
Shukrani sana kiongozi🙏
 
-Mimi nashauri diversification kwenye investment, like Utt, mashamba, viwanja, biashara, hisa,
Sawa, ila hizo fixed accounts ni kuhifadhi tu pesa mkuu, sio kutarajia faida kubwa labda kama unaweka walau 10M+ wakati hiyohiyo 10M kimtaamtaa kuna biashara hapo mtaani kwako inaingiza pesa mingi zaidi ya hizo accounts.
 
Ni kweli ila kuishika hela napo ni risky pia.

Nenda soma tabia za hela na utaona jinsi gani UTT ni mkombozi.

Kuna njia nyingi za kuzalisha hela uliyonayo au unayomiliki.

Njia yako ni njia pia ila wewe unaangalia faida zaidi hujaangalia upande wa hasara.

Kwa upande mwingine mimi nimeangalia hasara na nikaona bora kupata faida kidogo ila nikaepukana na hasara kubwa.

Zote hizo ni njia za uwekezaji na zote zina gain tofauti na hasara tofauti.

📍High gain(Faida kubwa)=High risk( Hasara kubwa)

📍Low gain(Faida ndogo)=Low risk(Hasara ndogo)

📌KUPANGA NI KUCHAGUA!!!
Baaaasi kwisha, mimi nimechagua nambari moja hapo.

Faida kubwa=Hasara kubwa
 
Kaka tumbili hebu funguka kama mwanaume mbona unarukaruka na unatoa mawazo yako kama mtu ambaye hajaelimika.

Andika vizuri na kwa kirefu unachotaka kukisema ili watu wakuelewa na ikiwezekana tukupinge kwa hoja.
Michambo ya kishoga siwezani nazo, endelea na unavyoona sahihi
 
Sawa, ila hizo fixed accounts ni kuhifadhi tu pesa mkuu, sio kutarajia faida kubwa labda kama unaweka walau 10M+ wakati hiyohiyo 10M kimtaamtaa kuna biashara hapo mtaani kwako inaingiza pesa mingi zaidi ya hizo accounts.
Acha stori za kijiweni braza biashara sio makalio,kwamba kila mtu anayo au ukifungua utawin, wakati UTT ni uhakika asilimia zaidi ya 98.

Braza unajishushia heshima, unauwakika hizo ni fixed accounts.Jaribu uwe na taarifa sahihi laasivyo utaonekana mediocre.
 
Umeongea point , mimi Utt niliifahamu toka mwaka jana mwezi wa nne - then nikaanza kufanya utafiti wangu nje ndani kwasababu waga sikurupukii vitu na ikanichukua miezi mitatu kuielewa vzr , then mwezi wa nane mwaka jana rasmi nikaanza ku invest , nimekimbiza mpaka mwaka huu mwezi wa nane nilikuwa na jumla ya shilingi 13Million , juzi nimetoa 7Million nimenunua hisa za CRDB kwahiyo mdogo mdogo nimeanza kufanya uwekezaji mseto nachanganya huku na huku
Ila huko kwenye mabenki kubaliana na yote kuna watu wanalalamika hawaoni gawio pia,stress za hisa kupanda na kushuka UTT hamna kabisa.
 
Duuh watu mnautajiri alafu mnauchezea , hiyo kwa kila mwezi unaingiza 200k - miezi 8 ungekuwa 1.6M faida sasahivi na maongezeko kibao. Cheki mfano huo hapo chini watu walivyo na hasira , mtu ana kamilioni tano kake ana maswali kibao anaona kama anaibiwa , cheki watu walivyo na salio chini hapo na hawazi kuibiwa , that why masikini ataendelea kuwa masikini na tajiri atazidi kuwa tajiri
Niruhusu nitukane chief,,,,mamamaaaaaammaaakkkkkkeeeee duh mzigo mzito alafu unakuta mwamba anasubir gawio la mwaka anaenda kubadili ndinga,hapo gawio lake unajenga nyumba mpya na unamenya pira jipya la maana kila mwaka kila mwaka yaani ni humu tu🙌🙌🙌🙌🙌

🚨Amewezaje kuscreenshot na app hairuhusu hicho kitendo??!!!
 
Hamna mtu hapo anafikiri wanaowekeza huko walikua hawapendi kupata hela nyingi Kwa mda mchache
Watu wengi wanatamaa ya pesa na hawajui kuwa to every gain their is a risk to take.

Watu wa hivi unaweza chukua siki 365 unamfafanulia jambo ila hawezi kuelewa🥱
 
Tangu nianze kupitia nyuzi zote kuhusu UTT huu ndo uzi niliouelewa kwa karibu 90% nafikiri ni muda sahihi wa kuwekeza sasa. Nimewekeza pesa zangu bank kwa miaka 5 sasa ila hakuna ninachoambulia ngoja niingie huku rasmi. Mkuu ulioleta uzi barikiwa sana na wote mliotoa maoni postive na challenging pia mbarikiwe sana nimejifunza sana
 
Watu wengi wanatamaa ya pesa na hawajui kuwa to every gain their is a risk to take.

Watu wa hivi unaweza chukua siki 365 unamfafanulia jambo ila hawezi kuelewa🥱
Mkuu nifafanulie hii hesabu
Screenshot_20250810_124751_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom