Miguel Felix Gallardo
JF-Expert Member
- Aug 17, 2024
- 2,115
- 3,811
- Thread starter
- #201
Watanzania sisi baadhi yetu tupo kupinga kila kitu.Na Cha ajabu miaka 15 itamkuta akiwa kapuku hivyo hivyo alichokifanya hakuna zaidi ya kubishana humu
Mada wazipendazo ni kuhusu ngono na ushuhuda wa manabii feki kujaza gesi kwa kupuliza kwenye mitungi😂😂😂.
Kuna watu wanaona mimi nakosea kuwasanua wengine wawekeze kwakuwa tu mimi sifaidiki na chchote.Hizi roho za kichawi sijui nani katurithisha.Any way tutafika ila kwa tabu sana.