Asante nimeelewaIkikupendeza angaliaangalia kwenye post za nyuma nimeshaelekeza kila kitu mpaka jinsi ya kukokotoa😀😀 usichoke kujifunza.
Kwasababu intrest rate inachezacheza kulingana na soko la hisa na uwekezaji ni vyema kwenye hizi hesabu utumie intrest rate ndogo kabisa ambayo ni 12% hivyo ndivyo hesabu za pesa zinapigwa🤝
Na pia ukiandika kwenye google UTT calculator watakuletea calculator mbili;
1.Single sum calculator.Hii ni ile unaweka mzigo alafu unaacha kwa muda unaotaka ila unaruhusiwa kuongeza.
2.Monthly sum calculater.Hii unaweka mzigo kila mwezi.