Wadukuzi watuambie, au ndiyo Bujibuji 😂 , siku Ljubljana twafaa!Sijui anatumia jina gani tu humu..
Wacha ushenzi basi mwamba!Mimi naamini kabisa ndani ya moyo wako wewe ni mtu mzuri. Una sense of humor ambayo bahati mbaya wengine hawaielewi.
Naamini kilichokukuta safari hii ni watu wamekupiga fitna hasa wale Waliochukua clip ya sauti yako na kuikatakata kisha kuunganisha vipande.
Naamini kabisa kwenye ile clip hukumaanisha kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali ulitaka kuonyesha kuwa hutozuia bango la mtu yeyote hata kama anawatukana nyie watendaji wa mkoa.
Nikikulinganisha na mtu kama Sabaya au Makonda wewe ni Saint kabisa huna roho ya kikatili na kishenzi.
Sasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.
Pia, muombe radhi mheshimiwa rais kwa kumkwaza, maana teua tengua nayo ni kazi, lakini pia inaweza kumpa picha mbaya mbeke ya umma kuwa hayuko makini kwenye teua zake.
Ndugu Chalamila, wewe ni kiongozi mzuri sana, ila sasa utani ulikuwa mwingi lakini naamini kabisa kwenye hii ishu umekuwa "framed".
Tafuta namna ya kukutana na mheshimiwa rais umuelezee kirefu issue yako.
Lengo siyo uteuliwe, bali lengo liwe ni kuweka rekodi sawa!
Usiitishe press conference hivi karibuni kujisafisha, wewe tulia ila jisafishe kwanza mbele ya mamlaka
Una kideo tuone? Huyu jamaa shida hana breki kbs ..duh..ila tuseme ukwel sio katili kama kina Sabaya &the co.By any means ishu ya mabango haijamuondoa Ila statement yake aliyotoa alipokuwa anaongea na wananchi baada ya kupokea mashine za hospital alikosea sana. Huwezi kusema kwamba wananchi wa mwanza wasimchukulie Rais anawachukia eti wasiamini maneno kwamba yeye ndio alimuua Magu, hivi kweli hii ni statement ya kuongea wakati ambapo Rais anapanga kwenda kufanya ziara?
He is the author of his own book.
Hv simbilisi kizazi hiki bado zipo??? Duh🙌Wadukuzi watuambie, au ndiyo Bujibuji 😂 , siku Ljubljana twafaa!
Kuropoka kwa jamaa nafikiria haswa wakati wa kupokea vifaa tiba, akiomba watu wa Mwanza wasimchukie mama Rais, hajamuua Magufuli siku chache zilizopita, plus huu upuuzi wa mabango, yeye kusema chochote hata tusi, inaleta picha kama alikuwa anatengeneza kitu fulani.
Anyways, aje huku tujiajiri, tufuge simbilisi.
Everyday is Saturday................................
Hakuwa na shida tatizo lake uropokaji wa kipuuzi. Ngoja nikutimie videoUna kideo tuone? Huyu jamaa shida hana breki kbs ..duh..ila tuseme ukwel sio katili kama kina Sabaya &the co.
Sasa kama amesikia haya maneno si bora ameyakunusha hadharani kuliko kuyakalia kimya? Maneno ya kijinga kama hayo yakiendelea ndio mwisho baadhi wanaamini kuwa ni kweli. Sidhani kama hili ndio limemuondoa madarakani. Kuna umuhimu wa mamlaka kuweka wazi sababu hizo ili wengine wajifunze.By any means ishu ya mabango haijamuondoa Ila statement yake aliyotoa alipokuwa anaongea na wananchi baada ya kupokea mashine za hospital alikosea sana. Huwezi kusema kwamba wananchi wa mwanza wasimchukulie Rais anawachukia eti wasiamini maneno kwamba yeye ndio alimuua Magu, hivi kweli hii ni statement ya kuongea wakati ambapo Rais anapanga kwenda kufanya ziara?
He is the author of his own book.
Hebu sikiliza hapa ndio utajua hii ndio imemuondoa Wala sio Ile ya mabangoUna kideo tuone? Huyu jamaa shida hana breki kbs ..duh..ila tuseme ukwel sio katili kama kina Sabaya &the co.
Huwa hakuna mtawala asiyependa wateule wanamfagilia.Mama sio kama JIWE, hataki watu wanaojipendekeza anataka kuona kazi inaendelea na matokeo yanaonekana!!! Huu sio wakati wa chawa! Let this be a lesson to others.
Hawa ndio kundi wanaomjalibu Rais mpaka kuingia Bungeni kujibu maswali huku wamelewa wakitaka waone atawafanya nini?
Lakini hakua na nia mbaya...mbona ameeleweka vyema tu..dahHebu sikiliza hapa ndio utajua hii ndio imemuondoa Wala sio Ile ya mabango
Umeambiwa kuwa siyo sababu ya kutenguliwa kwake.Umeona eh!, Wamehariri!
Wamepandishia clip juu ya clip nyingine!
Huu mchezo siyo mzuri kabisa
Ni matumizi mabaya ya ICT
Chalamila alikuwa ana address rumours zilizoko mitaani na kujaribu kumclear rais dhidi ya tuhuma za kijinga ambazo watu mitaani wanaziamini. Yeye alikuwa mkuu wa mkoa wa huko atakuwa amejua what is going on hujo mitaani mwanzaHebu sikiliza hapa ndio utajua hii ndio imemuondoa Wala sio Ile ya mabango
Never. Maneno yake kwa umma eti Samia hakumwua Mag, yalikuwa ya kijinga kabisa. Hivi ni nani alimwambia kuwa Mag aliuawa? Kaka siyo uwendawazimu ni nini?Natabiri mama kumrudisha kwenye u Kuu wa Mkoa ASAP
Unataka kusema mama SSH kakurupuka kumtumbua?Mimi naamini kabisa ndani ya moyo wako wewe ni mtu mzuri. Una sense of humor ambayo bahati mbaya wengine hawaielewi.
Naamini kilichokukuta safari hii ni watu wamekupiga fitna hasa wale Waliochukua clip ya sauti yako na kuikatakata kisha kuunganisha vipande.
Naamini kabisa kwenye ile clip hukumaanisha kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali ulitaka kuonyesha kuwa hutozuia bango la mtu yeyote hata kama anawatukana nyie watendaji wa mkoa.
Nikikulinganisha na mtu kama Sabaya au Makonda wewe ni Saint kabisa huna roho ya kikatili na kishenzi.
Sasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.
Pia, muombe radhi mheshimiwa rais kwa kumkwaza, maana teua tengua nayo ni kazi, lakini pia inaweza kumpa picha mbaya mbeke ya umma kuwa hayuko makini kwenye teua zake.
Ndugu Chalamila, wewe ni kiongozi mzuri sana, ila sasa utani ulikuwa mwingi lakini naamini kabisa kwenye hii ishu umekuwa "framed".
Tafuta namna ya kukutana na mheshimiwa rais umuelezee kirefu issue yako.
Lengo siyo uteuliwe, bali lengo liwe ni kuweka rekodi sawa!
Usiitishe press conference hivi karibuni kujisafisha, wewe tulia ila jisafishe kwanza mbele ya mamlaka
Kimsingi yeye alipaswa kumtaarifu Rais kama Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa then angekuwa amemaliza kazi yake.Chalamila alikuwa ana address rumours zilizoko mitaani na kujaribu kumclear rais dhidi ya tuhuma za kijinga ambazo watu mitaani wanaziamini. Yeye alikuwa mkuu wa mkoa wa huko atakuwa amejua what is going on hujo mitaani mwanza
Nyie mnadhani nchi nzima imesahau kifo cha Magufuli na imemove on, but huenda kanda ya Ziwa wanaamini Magufuli kauliwa (Japo ni mawazo ya kijinga)
Kwenye hiyo clip Chalamila anamsema vizuri kabisa rais ili wananchi wampokee, wamkubali na wampe kila aina ya msaada kwenye kuongoza nchi, na pia anamclear dhidi ya tubuna za kipuuzi ambazo huenda ziko mitaani huko kanda ya Ziwa!
Chalamila it seems ana IQ kubwa sana ndo maana haeleweki
Kabakia mmoja naye atakula rungu .Raisi Samia alishaambiwa Chalamila, Hapi, Sabaya hawafai kurudishwa, akajifanya hasikii amevaa earphones aanasikiliza taarabu za kumsifia. Mwache ajifunze the hard way.
Atakuwa ameshauriwa vibayaUnataka kusema mama SSH kakurupuka kumtumbua?
Chalamila ashike 50 zake, asipoteze muda na huyu mama asije zushiwa la kuzushiwa bure!Atakuwa ameshauriwa vibaya
Mwenye hii clip tafadhali weka.By any means ishu ya mabango haijamuondoa Ila statement yake aliyotoa alipokuwa anaongea na wananchi baada ya kupokea mashine za hospital alikosea sana. Huwezi kusema kwamba wananchi wa mwanza wasimchukulie Rais anawachukia eti wasiamini maneno kwamba yeye ndio alimuua Magu, hivi kweli hii ni statement ya kuongea wakati ambapo Rais anapanga kwenda kufanya ziara?
He is the author of his own book.
Nimeshaiweka hapo juu fuatilia utaiona pleaseMwenye hii clip tafadhali weka.