Chakula cha mama Mdigo Ubungo Kibo

Mapupu bandama matamu bwana sema inabidi uwe na maji pembeni ,kipindi na hustle na elimu nilikula sana supu ya mapupu/bandama uswahilini

Sio uchawi ufundi tu wa mpikaji
 
.Natoka Chukwan naenda Darajan( 10km) kufuata chakula mbaya zaidi kuna wengine wanaotoka mbali sio peke yangu.......Wakat mwingine huwa nahisi huyu mama sio ila nashangaa ndio naendelea tu.
 
.Natoka Chukwan naenda Darajan( 10km) kufuata chakula mbaya zaidi kuna wengine wanaotoka mbali sio peke yangu.......Wakat mwingine huwa nahisi huyu mama sio ila nashangaa ndio naendelea tu.
Mmh nilishafika Chukwani mara nyingi tuu ni nje ya mji si kule kwenye hifadhi ya kima wekundu?
 
nimesoma huu uzi nikamkumbuka jamaa mmoja anapika chapati maeneo ya sinza kwa remmy pale,mchafuuuuu ila chapati zake na maharagwe lazima usubiri kwenye foleni kupata!, sijui lakini kama yaliyomo yanafanana na bibi mdigo,bado kuna vitumbua vya bibi wa kwa mwinyi..
.....
 
Mkuu Mshanajr Kuna zile story kwamba wengine wanapika na kuuza wakiwa uchi Ila eti sisi wateja hatuoni eti tunaona wamevaa lakini wako uchi.sijui ni kweli haya hutokea au nayo ni simulizi za kweli?!
 
Mkuu Mshanajr Kuna zile story kwamba wengine wanapika na kuuza wakiwa uchi Ila eti sisi wateja hatuoni eti tunaona wamevaa lakini wako uchi.sijui ni kweli haya hutokea au nayo ni simulizi za kweli?!
Ni kweli kabisa japo ni ngumu kuthibitisha halafu kila mmoja anategemea alienda kwa mganga gani na akachagua aina gani ya mvuto
 
Ni kweli kabisa japo ni ngumu kuthibitisha halafu kila mmoja anategemea alienda kwa mganga gani na akachagua aina gani ya mvuto
Hahaha pale muhimbili enzi hizo tulikuwa tunaambiwa kuna mamantilie wako uchi, lakini sisi tunaona wamevaa hahaha story zingine noma sana.
Kuwa uchi si bora chuma ulete mkuu?!
 
Mkuu,nilianza kula migahawani nikiwa na umri mdogo sana mpaka hiv sasa nimekuwa Mzee...huwa sipend kuchunguza vyakula vya kwenye jumuia Kwa kuwa najua nitaelezwa mengi sana!
 
Hahaha pale muhimbili enzi hizo tulikuwa tunaambiwa kuna mamantilie wako uchi, lakini sisi tunaona wamevaa hahaha story zingine noma sana.
Kuwa uchi si bora chuma ulete mkuu?!
Hapana hakuna chenye afadhali hebu fikiri uchi ulivyo na sura mbaya halafu mtu akuhudumie akiwa mtupu.... Unaambiwa dalili zao utazijua ukishaaza kula atakubong'okea kwa pozi la kuosha vyombo.. Kumbe yuko uchi king'ora chote kinapiga miluzi... Si unajua akiinama chote kinarudi nyuma?
 
Hahaha we chizi sana Mshana, nani alikwambia uchi ni mbaya?! Hii miluzi ya kimya kimya au unaisikia?! Hiyo miluzi ndio mavumba yenyewe au kule kugonoka ndio msosi unanoga?!
Hahaha hizi story unaweza sababisha tukakosa wajasiliamali bure, nasi mjini hawa ndio wanatulisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…