CHAKACHUA..... Ujiachie!!!!!

CHAKACHUA..... Ujiachie!!!!!

Husninyo hata sijui nikwambie nini ,,ila nitakucheki tuchonge kidogo..
Nilikuwa bado natafakari ndoa ya Kim K iliyodumu siku 72...

yaaani mpendwa ilibidi niwe mpole tu. Dah! Nimefurahi kukuona lakini. Hope upo poa.
 
umbea...upo wa kumwaga!huku kipya ni admin ye2 inabana madenti balaaa,maisha yamekuwa kama sumu,machafu kibao yanafichuka...ukitaka kujua zaid,,,dnt wory ntawatel soon



lete... Lete... Lete... Lol
 
Safi aise
Nilikumiss mbaya pamoja na PA sijamuona siku ya tano leo mpaka home kahama
Sijui kawekwa wapi



Namimi nimeanza wasi wasi.... Nimeanza ku-observe ni dada gani pia kapotea maana PA hafai... Hivi Sweetlady umemuonapo kweli??
 
Humu naona watu wanachakachua biswahili ba hindi pipoli!! Nitawapeleka kwa Mzee Kifimbo wotee!



Papaa.... Sidhani kama nimeelewa hii post aisee....lol... Naona batu ba ki-congo banafanya kazi....
 
Namimi nimeanza wasi wasi.... Nimeanza ku-observe ni dada gani pia kapotea maana PA hafai... Hivi Sweetlady umemuonapo kweli??

Wote wawili wamepotea tokea siku ile wakiwa kwenye siredi ya Babu
 
Wote wawili wamepotea tokea siku ile wakiwa kwenye siredi ya Babu



Naona baaaas!! Hauna haja ya kuenda mbali....lol... After all: When you are in Love you can't fall asleep because reality is better than your dreams
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom