CHAKACHUA..... Ujiachie!!!!!

CHAKACHUA..... Ujiachie!!!!!

heheeh hapa kweli tunajiachia, ma stress yote kwishnei, hata kibuti cha husninyo hakinisumbui tena
Ubarikiwe Ashadii (source: Miss Judith ambae tangu aolewe haonekani, imekula kwetu)


Mie nikushukuru wewe kwa kuitendea HAKI thread.....lol... (wee na Husny hata siwaelewi, sio ajabu akaja sasahivi hapa na mkafuatana kama kumbi kumbi...lol)

mia... Source; fignig
 
Mimi napita tu maana sifahamu kuchakachua!
 
I am Man-U because it is the best team of the world, I am T-P Mazembe because it is the best team of Africa and I am Yanga because it is the best team of Tanzania. Na atakae bisha hili atakua anaconfirm tu superiority ya team hizi 3!


Pamoja saaaaanaaaaaa................. Roulette!!!
 
hahahahaaaaa..........anampenda mumewe na kipigo chake!!! dah....!!! mtu mzima kucharazwa , tena na mkanda kabisa?? aisee kuna watu wana miili!!!


Kipipi dear what are you saying?? lol... Hivi umeelewa mumewe alikua anampigia fimbo gani?? lol
 
Chakachua nichakachue...GGrrrriiiihhi...lol..

Hakuna mgomo huku?
 
Alafu hizi lugha za kubeba maana maana hizi??? heheh.........nimerudia kusoma but am not sure kama nimeelewa tena!!



Agree to disagree in agreeable manner!!
 
hahahaha..... Habari yako Ritz?? Hebu nipe habari wapi wamegoma??

Nzuri mtu wangu Ashd,
Ongea polepole wasijekukusikia wenyewe si jana huko R.chuga Viford vitatu viligoma...lol..
 
Sisi bacongo man tunapiga sauti nzito kumbini, wewe taka sikiliza buwimbo yetu?



Kabisaaa!!! Mie taka sikiliza "Mamou na leliee" ya mutu ya siku mingi ikijulikana kama Franco....
 
Nzuri mtu wangu Ashd,
Ongea polepole wasijekukusikia wenyewe si jana huko R.chuga Viford vitatu viligoma...lol..




hahahaha..... Ritz una mambo weyee.....lol... Mpaka hapa naona walo karibu wamesikia minong'ono yetu.....lol
 
Kabisaaa!!! Mie taka sikiliza "Mamou na leliee" ya mutu ya siku mingi ikijulikana kama Franco....

Buwimbo zipo nyingi tu! Sisi twajua ipi ya shusha mapigo ya Bolingo! Papa AshaDii tutakuimbia...kaa mkao wa kula Papaa!
 
Buwimbo zipo nyingi tu! Sisi twajua ipi ya shusha mapigo ya Bolingo! Papa AshaDii tutakuimbia...kaa mkao wa kula Papaa!


Papa Mopao habari miiiiingi nimepokea ila hii news iko funika habari miiiingiii, tasubiri ba mutu ba kicongo bapike bakurutu mpaka itikise kabisa...lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom