CHAKACHUA..... Ujiachie!!!!!

CHAKACHUA..... Ujiachie!!!!!

Husninyo hata sijui nikwambie nini ,,ila nitakucheki tuchonge kidogo..
Nilikuwa bado natafakari ndoa ya Kim K iliyodumu siku 72...

Halafu leo kasema..
hatakaa aolewe kwa sababu ya pesa...
dahhh ..

harusi ya milioni 10 za US...
Na alilipwa US $ 17 million kwa kuonyesha
harusi yake kwenye TV.....

kweli kuwa Celeb Kazi....
Nimekujibu kule chumbani my dear ....
 
Yaani mie nimesoma hapo kwa red tu.......... huko kwingine hakuna maslahi kwa taifa.

Sijambo shem.......... na ikawaje ukaanzisha myuziful sredi namna hii afu usinihabarishe? Ntakusemea!



Umeangalia mda nilorusha?? Shem Sweetie jana alikua busy na mpira....
Tv ya rum imeharibika where as sebuleni ka-monopolise..... Ikanibidi ni du the useful thru hii thread...

Alafu mbona mimi nikisemea huchapwi?? lol
 
Yaani taaaaaratibu naanza kuwa spare tyre!

Inauma sana aisee!



Shem hebu niombe RADHI!!! Huyu mtoto siku nyingi sijamuona NIMEFURAHI saaana..... Na wewe siku zoote tupo wote dear.... Yaani nisigeuze kichea hata kidogo darling shem??
 
First L hebu imagine mbwembwe zoooote zile??? Dah.....

Mzima wewe dear.... (nimekuona ndo nakumbuka sijatembelea G-mail)

Niko ok my dear ..and very happy thanks ..
hizi ndoa za wenzetu kazi kweli kweli
 
Khaa!! AD Dearest... imebidi nikujibu kabla hata post ya ODM..... Ulikua wapi siku zooote hizi??? Source; Babu...

Personally nili Miss kukuona na kugongana namna hii....

asante mamito..
nilikuwa napitia pitia tu mikwaruzo
ya maisha.. ..

Hata mi nili wa miss sana tu ..
Naona unaendeleza jukwaa kwa kwenda mbele..
safi sana .... and Thanx ..
 
Shem hebu niombe RADHI!!! Huyu mtoto siku nyingi sijamuona NIMEFURAHI saaana..... Na wewe siku zoote tupo wote dear.... Yaani nisigeuze kichea hata kidogo darling shem??
Ushasahau ODM ako selfish linapokuja swala linalomhusisha ADI? Hujajua ODM ako na mawivu?

Usirudie tena!
 
Halafu leo kasema..
hatakaa aolewe kwa sababu ya pesa...
dahhh ..

harusi ya milioni 10 za US...
Na alilipwa US $ 17 million kwa kuonyesha
harusi yake kwenye TV.....

kweli kuwa Celeb Kazi....
Nimekujibu kule chumbani my dear ....

Thanks ngoja nicheki ....AD ulienda wapi lakini ama ndo msimu wa kilimo huu?
 
Shem hebu niombe RADHI!!! Huyu mtoto siku nyingi sijamuona NIMEFURAHI saaana..... Na wewe siku zoote tupo wote dear.... Yaani nisigeuze kichea hata kidogo darling shem??
Khee! Huyo mbibi mwenye watoto 11 kila mtoto na baba yake na wajukuu kazaa ndo leo anaitwa mtoto. Kama FL1 ni mtoto basi Afrodenzi atakuwa bado kiunoni mwa babu yake.........
 
Thanks ngoja nicheki ....AD ulienda wapi lakini ama ndo msimu wa kilimo huu?

si unajua tena ndo tuna tayarisha tayarisha
mashamba...

bora tuanze kukaza kamba sasa
kabla yule mzungu wa UK hajakata misaada
hahahah lol.... Vipi unataka kuja huku hii holiday??
 
Thats my girlie:

Zawadi yako: Ntakukabizi mimba ya mapacha

Njoo huku rum na kale kamkongojo ulikoninunulia Shanghai.

dahhh ndo nini kunipunguzia..
si uliniambia utanizawadi ya watatu ....
 
Niko ok my dear ..and very happy thanks ..
hizi ndoa za wenzetu kazi kweli kweli



Mie nafikiri inabidi tufungue Mada kujadili "what is ndoa" katika context ya Maisha tunaishi sasa.... Sad. Nimefurahi uko OK...
 
asante mamito..
nilikuwa napitia pitia tu mikwaruzo
ya maisha.. ..

Hata mi nili wa miss sana tu ..
Naona unaendeleza jukwaa kwa kwenda mbele..
safi sana ..
.. and Thanx ..


Asante Dearest.... Humbled dear.... Najua leo hata wenyewe wamejifanya wapo busy kuingia JF wataingia leo hapa.....lol
 
Khee! Huyo mbibi mwenye watoto 11 kila mtoto na baba yake na wajukuu kazaa ndo leo anaitwa mtoto. Kama FL1 ni mtoto basi Afrodenzi atakuwa bado kiunoni mwa babu yake.........


Jamani shem mbona I meant AfroDenzi?? lol... Shem nishaona leo unanitafuta... Nimekosa nini dear??
 
Acha uchoyo, nyingine ntampa Lizzy..........

Hivi ako wapi huyu dada angu?

Lizzy hajambo ..
Nlikuwa naye jana..
atarejea muda si mrefu ...

dahhh babu mi nataka watatu..
Lizzy bado ye hajaomba acha kumpendea basi ....
ntalia ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom