afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,152
- 9,268
Husninyo hata sijui nikwambie nini ,,ila nitakucheki tuchonge kidogo..
Nilikuwa bado natafakari ndoa ya Kim K iliyodumu siku 72...
Halafu leo kasema..
hatakaa aolewe kwa sababu ya pesa...
dahhh ..
harusi ya milioni 10 za US...
Na alilipwa US $ 17 million kwa kuonyesha
harusi yake kwenye TV.....
kweli kuwa Celeb Kazi....
Nimekujibu kule chumbani my dear ....