Aspirin
Huuh "kutema mate" tena!
Mjamzito??
Swali la kizushi:
Ushawahi kumwona mwanaume anakojoa asiteme mate?
Au mwanamke akimwaga kojo bila kuachia kaushuzi kiduchu? (hapa nazungumzia wanaojojoa wakiwa wamechuchumaa) LOL
Duh .....hili suali kweli nimekosa majibu!
Hahahahaah! Sshhhhhhh (usimwambie bana, jamaa ana mihasira twaweza vunja undugu)Khaaa!!! Sweetie has neva told me this.... And as far as I know my smile was one of the things he fell for.... (alafu taratibu shem... wivu kwa hommie? lol)
Jamani naomba munisaidia na mumsaidie mwalimu wangu Gaijin......... Tulikuwa na kipindi cha maswali na majibu kwenye jukwaa la madaktari....
Tafazalini sana:Majibu tafazali kwa anayejua...........
Hahahahaah! Sshhhhhhh (usimwambie bana, jamaa ana mihasira twaweza vunja undugu)
Ukimuweza Gaijin nakutunuku digrii ya heshima kama aliyotunukiwa prezidaa wetummmh! Goja aje mwingine, mie Gaijini hua hatuwezani.... We have neva come to an agreement in anything... Nimekuachia wewe...
Naaah!! Can not do that Shem.... lol
Ukimuweza Gaijin nakutunuku digrii ya heshima kama aliyotunukiwa prezidaa wetu
umetufungulia sred tumwage maumbea siyo?
Aisee huku mtaani kwangu hakuishi vituko, jana usiku mida ya saa tatu na nusu ivi. jamaa mmoja jirani yangu anaishi nyumba ya tatu kutoka napokaa, alikuwa anampiga mkewe, kamtwangwa kwelikweli mwanamke kapiga ukunga ule wa kichagga(yeleuuwiii yewooomiii). Baada ya kipondo hevi. Majirani wakaona wakamwokoe yule mwanamke.
Wakifuatana na balozi eti wakagonga hodi, jamaa akafungua mlango, jasho linamtoka kama maji, mkononi kashika mkanda.
Balozi wa 10house kamwambia, unamtwanga wife wako kama mnyama kwanini? Jamaa kucheki kadamnasi,akamjibu mzee wa watu, "NAFANYA MAPENZI NA MKE WANGU, SIMPIGI, unaingilia nyumba yangu??".
Ikabidi watu wajisapie zao taratibu. Mke akaendelea kula kichapo.
Oh!! Jamani AD.... LOVELY!! THANK YOU..... (am curious thou kama hio love ya manyoya imechorwa ama kazaliwa hivo??)
hamna neno kabisa...
hiyo ni alama ya kuzaliwa ..
nimeandika mawili matatu kuhusu hiyo hapa..
https://www.jamiiforums.com/jamii-photos/188591-creatures-born-a-little-freaky.html
Topic closed.
hata hayupo hapo anti.
umetufungulia sred tumwage maumbea siyo?
Aisee huku mtaani kwangu hakuishi vituko, jana usiku mida ya saa tatu na nusu ivi. jamaa mmoja jirani yangu anaishi nyumba ya tatu kutoka napokaa, alikuwa anampiga mkewe, kamtwangwa kwelikweli mwanamke kapiga ukunga ule wa kichagga(yeleuuwiii yewooomiii). Baada ya kipondo hevi. Majirani wakaona wakamwokoe yule mwanamke.
Wakifuatana na balozi eti wakagonga hodi, jamaa akafungua mlango, jasho linamtoka kama maji, mkononi kashika mkanda.
Balozi wa 10house kamwambia, unamtwanga wife wako kama mnyama kwanini? Jamaa kucheki kadamnasi,akamjibu mzee wa watu, "NAFANYA MAPENZI NA MKE WANGU, SIMPIGI, unaingilia nyumba yangu??".
Ikabidi watu wajisapie zao taratibu. Mke akaendelea kula kichapo.