Chaguo zangu wiki hii...

Charlie Chaplin alikuwa anaact ukomedi kuhusiana na real life ya watu, nchi, alikuwa ni mtu fulani kama wa kipolitics hivi, alikuwa anaonyesha problems watu walizokuwa wanazipata that time kwenye jamii, ana tofautiana kidogo na Bean, yaani Bean vituko vyake ni vituko vya kichizi hasaa, Bean, ni stress remover wangu mkubwa Duniani
Charlie Chaplin was Legend ila kwa walio hai bdo huyu anafunika kwa kweli! I lyk the way he acts bila kuongea!
 
attachment.php


Duuh! Yethu na Maria na Yosefu Mchumbaake!!!!!!! Hizo Rozari zimeibiwa Parokia gani aiseeeeh!:israel:

 
Back
Top Bottom