Chaguo zangu wiki hii...

attachment.php
 
kweli mtandao uko slow sana, hadi ubongo wa huyo mtoa huduma umekuwa slow kwa hiyo picha ya kimwana.
 
Kha, hii sasa mbavu lazima ziwe za plastik na hadi uje "ku-score" unatakaiwa ukae miezi mingine sita au nane hivi, sijui Little Angel anasemaje hapa
 
Last edited by a moderator:
Charlie Chaplin was Legend ila kwa walio hai bdo huyu anafunika kwa kweli! I lyk the way he acts bila kuongea!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom