ishu sio mandhari tu..... ziwe na uwezo wa kutatua tatizo kubwa la msongamano lililopo DarView attachment 59310
Haya ndio malengo ya waziri wetu wa ujenzi John Pombe Magufuli, anataka kulifanya jiji la Dar es salaam liwe na mandhari kama haya.Tumpe muda na asiingiliwe katika utendaji wake wa kazi.
nisaidien hii ni mbingu gani,,,,,,,,dah,,,,bongo hii iwe hivyo,,,,,,labda atokee dicteta,,,au kuanzisha new dar,,sio kukarabati old dar,,,,,,
Vijana wanaokaa Mbagala hawana haja ya kwenda JKT