jchofachogenda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 537
- 123
- Thread starter
- #21
Kama ni kweli basi Mungu nijalie nisioe, nipe nguvu ya kutooa, nife nikiwa peke
Kwa mtazamo wangu maamuzi yako sio sahihi kwani hata mwenyezi mungu alimwambia Adam kuwa nendeni ulimwenguni mkazaliane.Na kuzaa bila mke tafsiri yake ni uzinifu,kuoa ni lazima cha msingi uchague aina ya mke utakaemtaka kwa kuzingatia kabila,dini,muonekano wa nje na wa ndani,familia yake, kazi yake na mengineyo.
View attachment 59310
Haya ndio malengo ya waziri wetu wa ujenzi John Pombe Magufuli, anataka kulifanya jiji la Dar es salaam liwe na mandhari kama haya.Tumpe muda na asiingiliwe katika utendaji wake wa kazi.