baro
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 3,403
- 4,850
- Thread starter
- #61
Mimi naanza kufikiri watanzania ni watu wa ajabu sana , hili jukwaa ni la kupashana habari kwa kila kinachojiri nchini hasa kipindi hiki cha uchaguz ,lakini kuna watu mnaleta mzaha , kwanza kupitia bandiko langu kwa mtu mkongwe humu hana haja ya kutukana matusi Bali atapata jibu la moja kwa moja
Bado ,
Niko Dodoma wakuu
Bado ,
Niko Dodoma wakuu