Chaguo la CCM katika urais aongezewa ulinzi

Chaguo la CCM katika urais aongezewa ulinzi

Habarini za jioni wanajamvi

Baada ya salamu nijikite kwenye mada, habari zisizo rasmi kutoka makao makuu ya nchi Dodoma , zimemjuza mnyetishaji mmoja kuwa rais ajaye keshapewa baraka zote na chama na imefikia hatua za mbali zaidi kumuongezea ulinzi kwani imeonekana anawindwa sana kama swala aliye nyikani, mgombea huyu jina kapuni ameonekana ndiye suluhisho la matatizo yote ndani ya CCM hasa suala zima la ufisadi na rushwa kansa inayoitesa CCM kwa muda mrefu. ,

Tutaendelea kujuzana kila kinachojili ili jf iwe ya kwanza kufahamu

NB: Mgombea huyo anatokea bara na wala sio visiwani, wazee wa baraza wameshamaliza kila kitu

By Baro
Nikiwa Dodoma , kwa kazi Maalum

Kwani hao wazee wa baraza ndio wanao mchagua rais wa JMT na si Watanzania wote?

Zama za kuuziwa mbuzi kwenye gunia zimeshapita. Huyo atakuwa Rais wa baraza la Wazee lakini sio rais wa JMT. Mark my words.
 
Kwani hao wazee wa baraza ndio wanao mchagua rais wa JMT na si Watanzania wote?

Zama za kuuziwa mbuzi kwenye gunia zimeshapita. Huyo atakuwa Rais wa baraza la Wazee lakini sio rais wa JMT. Mark my words.

Mkuu sio ugomvi wala usipaniki , hali ndivyo ilivyo
 
Si umtaje tu mkuu!

Mkuu bado hujamjua tu pamoja na kuambiwa hivi.....mgombea huyu jina kapuni ameonekana ndiye suluhisho la matatizo yote ndani ya CCM hasa suala zima la ufisadi na rushwa kansa inayoitesa CCM kwa muda mrefu.

Au ulikuwa hufatilii hoja humu??!! hasa zile zenye maslahi kwa taifa, achana na zile zinazoendeshwaga na ushabiki wa kisiasa
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Mpango uliopo ni kiwatoa watu kwenye maada ya gas....massm bwana
 
Habarini za jioni wanajamvi

Baada ya salamu nijikite kwenye mada, habari zisizo rasmi kutoka makao makuu ya nchi Dodoma , zimemjuza mnyetishaji mmoja kuwa rais ajaye keshapewa baraka zote na chama na imefikia hatua za mbali zaidi kumuongezea ulinzi kwani imeonekana anawindwa sana kama swala aliye nyikani, mgombea huyu jina kapuni ameonekana ndiye suluhisho la matatizo yote ndani ya CCM hasa suala zima la ufisadi na rushwa kansa inayoitesa CCM kwa muda mrefu.

Tutaendelea kujuzana kila kinachojili ili jf iwe ya kwanza kufahamu.

NB: Mgombea huyo anatokea bara na wala sio visiwani, wazee wa baraza wameshamaliza kila kitu.

By Baro
Nikiwa Dodoma , kwa kazi Maalum.

Tunashindwa kukutofautisha na ZZK, kwa nini usimtaje kama una taarifa za uhakika?
 
sifa za kijinga. uonekane na wewe umo kwenye circle ya mambo ya inchi hii eeeeh.
 
whistle blower mbona unaogopa....si useme tu ni mmojawapo wa wale wawili wa kanda ya ziwa.

Kama hizi habari ni za kweli hakika ccm wamesikia maombi yangu, kazi imeisha na uchaguzi umeisha, tunasubiri tu baraka za watanzania hapo October ili sasa aanze rasmi kazi ya kupambana na mafisadi na wala rushwa.
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Habarini za jioni wanajamvi

Baada ya salamu nijikite kwenye mada, habari zisizo rasmi kutoka makao makuu ya nchi Dodoma , zimemjuza mnyetishaji mmoja kuwa rais ajaye keshapewa baraka zote na chama na imefikia hatua za mbali zaidi kumuongezea ulinzi kwani imeonekana anawindwa sana kama swala aliye nyikani, mgombea huyu jina kapuni ameonekana ndiye suluhisho la matatizo yote ndani ya CCM hasa suala zima la ufisadi na rushwa kansa inayoitesa CCM kwa muda mrefu.

Tutaendelea kujuzana kila kinachojili ili jf iwe ya kwanza kufahamu.

NB: Mgombea huyo anatokea bara na wala sio visiwani, wazee wa baraza wameshamaliza kila kitu.

By Baro
Nikiwa Dodoma , kwa kazi Maalum.

.... Mako
 
Ukimuona mtu anaonyesha UJINGA wake hadharani katika jambo muhimu linalohusu maslahi ya nchi ni wa kuogopa kama UKOMA.
Baba wa Taifa hakukosea kabisa aliposema moja wa maadui wakubwa kabisa wa Watanzania ni UJINGA.

Habarini za jioni wanajamvi

Baada ya salamu nijikite kwenye mada, habari zisizo rasmi kutoka makao makuu ya nchi Dodoma , zimemjuza mnyetishaji mmoja kuwa rais ajaye keshapewa baraka zote na chama na imefikia hatua za mbali zaidi kumuongezea ulinzi kwani imeonekana anawindwa sana kama swala aliye nyikani, mgombea huyu jina kapuni ameonekana ndiye suluhisho la matatizo yote ndani ya CCM hasa suala zima la ufisadi na rushwa kansa inayoitesa CCM kwa muda mrefu.

Tutaendelea kujuzana kila kinachojili ili jf iwe ya kwanza kufahamu.

NB: Mgombea huyo anatokea bara na wala sio visiwani, wazee wa baraza wameshamaliza kila kitu.

By Baro
Nikiwa Dodoma , kwa kazi Maalum.
 
Au ni yule wa pesa za Libya?

Khaaa, watu wengi kumbe hamsomagi hoja mkuu, yaani bado uko gizani pamoja na kuambiwa hivi??!!.....mgombea huyu jina kapuni ameonekana ndiye suluhisho la matatizo yote ndani ya CCM hasa suala zima la ufisadi na rushwa kansa inayoitesa CCM kwa muda mrefu.
 
Back
Top Bottom