Chaguo la CCM katika urais aongezewa ulinzi

Chaguo la CCM katika urais aongezewa ulinzi

Taja tu mbona anafahamika ni Mh Bernard Kamilius Membe
Should this idiot be the next president, we will end up being sold like karanga in a market? Huyu jamaa brain yake ni ziro kabisa, itashangaza sana kama CCM wanaweza kumpitisha huyu.
 
Habarini za jioni wanajamvi

Baada ya salamu nijikite kwenye mada, habari zisizo rasmi kutoka makao makuu ya nchi Dodoma , zimemjuza mnyetishaji mmoja kuwa rais ajaye keshapewa baraka zote na chama na imefikia hatua za mbali zaidi kumuongezea ulinzi kwani imeonekana anawindwa sana kama swala aliye nyikani, mgombea huyu jina kapuni ameonekana ndiye suluhisho la matatizo yote ndani ya CCM hasa suala zima la ufisadi na rushwa kansa inayoitesa CCM kwa muda mrefu.

Tutaendelea kujuzana kila kinachojili ili jf iwe ya kwanza kufahamu.

NB: Mgombea huyo anatokea bara na wala sio visiwani, wazee wa baraza wameshamaliza kila kitu.

By Baro
Nikiwa Dodoma , kwa kazi Maalum.

Sijaona bado.
 
Should this idiot be the next president, we will end up being sold like karanga in a market? Huyu jamaa brain yake ni ziro kabisa, itashangaza sana kama CCM wanaweza kumpitisha huyu.
Membe akiwa rais nchi inakufa baada ya masaa 24
 
Mkuu pandiko lako lina giza jingi! Mbona unaficha habari wakati hapa JF watu tunajimwaga

Hafichi habari ila hana habari anapima upepo wa wana jamvi. Wasipomteua Jaji CCM itatembelea:crutch:
 
Habarini za jioni wanajamvi

Baada ya salamu nijikite kwenye mada, habari zisizo rasmi kutoka makao makuu ya nchi Dodoma , zimemjuza mnyetishaji mmoja kuwa rais ajaye keshapewa baraka zote na chama na imefikia hatua za mbali zaidi kumuongezea ulinzi kwani imeonekana anawindwa sana kama swala aliye nyikani, mgombea huyu jina kapuni ameonekana ndiye suluhisho la matatizo yote ndani ya CCM hasa suala zima la ufisadi na rushwa kansa inayoitesa CCM kwa muda mrefu.

Tutaendelea kujuzana kila kinachojili ili jf iwe ya kwanza kufahamu.

NB: Mgombea huyo anatokea bara na wala sio visiwani, wazee wa baraza wameshamaliza kila kitu.

By Baro
Nikiwa Dodoma , kwa kazi Maalum.

tanzania bhana, kila mtu anajifanya tiss eti kazi maalum
 
Kama hizi habari ni za kweli hakika ccm wamesikia maombi yangu, kazi imeisha na uchaguzi umeisha, tunasubiri tu baraka za watanzania hapo October ili sasa aanze rasmi kazi ya kupambana na mafisadi na wala rushwa.

yani huyo mtu yumo humo humo miongoni mwa wala rushwa halafu ndo apambane nao?... nisawa na kusema mmoja kati ya ma traffic wa barabarani apewe jukumu la kuwashughulikia matraffic wenzake wa barabarani wala rushwa..... sio rahisi... huyo mtu wa kushughulikia inabidi atoke taasisi nyingine for this case PCCB na kwa hii premise maana yake ni opposition party au atleast mgombea binafsi... lakini akitoka CCM bado kuna giza kuu mbele yetu
 
Ndiyo hivyo mkuu. Kwangu mchakato unaanza baada ya kumtema fisadi mkuu.
Hapo ndiyo tuanze kuangalia sifa za waliobaki.

Wewe ushahidi unao au unaongea kwa kutema mate km mwanaswila? Unao ushahidi au umedandia basi la mbagala rangi 3. Lete ushahidi mezani
 
Wewe ushahidi unao au unaongea kwa kutema mate km mwanaswila? Unao ushahidi au umedandia basi la mbagala rangi 3. Lete ushahidi mezani

hata CCM wenyewe wanalalamikia ufisadi na rushwa....sasa sijui hawana ushahidi kwa watuhumiwa au wameamua kufumbia macho
 
Should this idiot be the next president, we will end up being sold like karanga in a market? Huyu jamaa brain yake ni ziro kabisa, itashangaza sana kama CCM wanaweza kumpitisha huyu.

Duu Membe brain zero wakati ni graduate wa udsm with second upper na ana masters from John Hopkins university u ziro wake inamaana hata wamarekani hawakuuona wakampa masters yenye distinction? Can you please clarify what criteria did you use to afirm is an idiot with zero brain?
 
Yaani na wewe kupata kibarua cha kuosha magari ya waheshimiwa huko mjengoni ndio unajiona upo kwenye systerm.....???
Labda systerm za maji taka.....
 
Duu Membe brain zero wakati ni graduate wa udsm with second upper na ana masters from John Hopkins university u ziro wake inamaana hata wamarekani hawakuuona wakampa masters yenye distinction? Can you please clarify what criteria did you use to afirm is an idiot with zero brain?

Siyo hoja ya kuwa rais wa JMT.
 
Watu 15 wanapanga kumuua alafu aachwe bila ulinzi kweli?
 
Wewe ushahidi unao au unaongea kwa kutema mate km mwanaswila? Unao ushahidi au umedandia basi la mbagala rangi 3. Lete ushahidi mezani

Unataka ushahidi gani wewe zezeta? Hizo hela za fisadi mwisho wa kutafuna umewadia.
 
Back
Top Bottom