Chaguo la CCM katika urais aongezewa ulinzi

Chaguo la CCM katika urais aongezewa ulinzi

Mmojawapo wa hao nadhani ndiye atakayewapa upinzani UKAWA maana huyo mmoja wapo anahoja zile zile za UKAWA
 
Habarini za jioni wanajamvi

Baada ya salamu nijikite kwenye mada, habari zisizo rasmi kutoka makao makuu ya nchi Dodoma , zimemjuza mnyetishaji mmoja kuwa rais ajaye keshapewa baraka zote na chama na imefikia hatua za mbali zaidi kumuongezea ulinzi kwani imeonekana anawindwa sana kama swala aliye nyikani, mgombea huyu jina kapuni ameonekana ndiye suluhisho la matatizo yote ndani ya CCM hasa suala zima la ufisadi na rushwa kansa inayoitesa CCM kwa muda mrefu.

Tutaendelea kujuzana kila kinachojili ili jf iwe ya kwanza kufahamu.

NB: Mgombea huyo anatokea bara na wala sio visiwani, wazee wa baraza wameshamaliza kila kitu.

By Baro
Nikiwa Dodoma , kwa kazi Maalum.

Ww si ni ligi kuu! subiri uone soka la mchangani.
 
Mimi ugomvi wangu ni kitu kimoja tu. Yule fisadi maarufu akatwe mapema kabisa. Mengine tutachambua na kuelekezana taratibu.
 
this is the forum where people dare to talk openly!!! huu utoto peleka facebook
 
Khaaa, watu wengi kumbe hamsomagi hoja mkuu, yaani bado uko gizani pamoja na kuambiwa hivi??!!.....mgombea huyu jina kapuni ameonekana ndiye suluhisho la matatizo yote ndani ya CCM hasa suala zima la ufisadi na rushwa kansa inayoitesa CCM kwa muda mrefu.

CCM haina mtia nia mwenye sifa hizo kwa sasa
 
Bila shaka huyo si mwingine bali....Dr Johb Pombe Magufuli....dawa ya kansa ya ufisadi
 
Habarini za jioni wanajamvi

Baada ya salamu nijikite kwenye mada, habari zisizo rasmi kutoka makao makuu ya nchi Dodoma , zimemjuza mnyetishaji mmoja kuwa rais ajaye keshapewa baraka zote na chama na imefikia hatua za mbali zaidi kumuongezea ulinzi kwani imeonekana anawindwa sana kama swala aliye nyikani, mgombea huyu jina kapuni ameonekana ndiye suluhisho la matatizo yote ndani ya CCM hasa suala zima la ufisadi na rushwa kansa inayoitesa CCM kwa muda mrefu.

Tutaendelea kujuzana kila kinachojili ili jf iwe ya kwanza kufahamu.

NB: Mgombea huyo anatokea bara na wala sio visiwani, wazee wa baraza wameshamaliza kila kitu.

By Baro
Nikiwa Dodoma , kwa kazi Maalum.
We zubeda acha bangi zako....
 
Ukimuona mtu anaonyesha UJINGA wake hadharani katika jambo muhimu linalohusu maslahi ya nchi ni wa kuogopa kama UKOMA.
Baba wa Taifa hakukosea kabisa aliposema moja wa maadui wakubwa kabisa wa Watanzania ni UJINGA.

Dr. Slaa kaongeza na adui wa 4 UFISADI akizungumza na wazee wa Dar. Leo na kumsimika kuwa chief wa Dar.
 
Bila shaka huyo si mwingine bali....Dr Johb Pombe Magufuli....dawa ya kansa ya ufisadi

Huyu mla rushwa,mnamuamini kwa sababu ya kukremu namba?Huyu ambaye imenyesha mvua moja tu barabara zote zimesambaratika?

Duh kweli CCM hakuna mgombea urais.Poleni sana....Tunahitaji Rais atakayeweza kusema hapana kwa hii sinema inayochezwa na maccm,kupitisha Miswada muhimu kwa siku tano......Eti na yule Chemba ya Choo anadai muda muafaka my foot siku zote hiz walikuwa wapi?

Kweli Nchi ya DHARURA hata rais ni wa DHARURA..........
 
Bila shaka huyo si mwingine bali....Dr Johb Pombe Magufuli....dawa ya kansa ya ufisadi

Tuliza boli mkuu, Magufuli atakuwa PM, huyu ni mtendaji hasaa we cannot afford to lose him
 
Back
Top Bottom