Una maana ulikuwa unamkubali sana SHONZA, basi subiri 2015 utaona athari za SHONZA na MWAMPAMBA kutoka CHADEMA.
Nakusamehe, umejiunga na JF juzi. Mimi ni moja wa watu waliokuwa wakiilaumu Chadema kwa kuwakumbatia hao wasaliti kwa muda mrefu kwani nilijua walivyorubuniwa toka mwanzo.
Utambue pia kuna mambo mengi sana ambayo pengine yametokea kwa sababu ya hawa vijana kuondoka CHADEMA.
Ha ha haaa! Ninavyojua toka wajitoe, Chadema imezidi kujiimarisha...je unahitaji ushahidi au takwimu? Chagua mwenyewe!
1.Kugundulika kwa unyama wa WIFRED LWAKATARE
Ebo, kumbe! Wanga huingia kazini usiku lakini siku ya kufa nyani ikifika, hujikuta jua limewawakia tena mchana kweupee!
2. ZITTO kabwe kukosa morari ya kujihusisha na masuala ya chama
Ahaa! Siri hubakia ya mtu moja, ikizidi hapo si siri tena. Asante
Enzizamwalimu, mtaumbuana bila kujua.
3. Nguvu ya CDM Ughaibuni kupungua kwa asilimia kubwa
Sijui ughaibuni gani unaouongelea! Je huko ughaibuni wanapiga kura?
4. matumizi ya nguvu na pesa nyingi sana katika uchaguzi mdogo katika mji wa arusha pamoja na kwamba CHADEMA walisema hata wangesimamisha jiwe na CCM lingeshindwa
Chadema wakatumia pesa nyingi hadi kuishinda serikali! Chadema kumbe kiboko!
5.CHADEMA kuwa na watu maalum wa kukabiliana na SHONZA na MWAMPAMBA kwenye mitandao ya kijamii na majukwaani
Sidhani Chadema wanaweza kwenda that low. Yaani Chadema iwafukuze halafu iweke watu maalum kukabiliana nao mitandaoni! Idiocy should be made of sterner stuff, pole sana
Enzizamwalimu.
6.Tukio la JULIANA SHONZA kutaka kushambuliwa na watu walioaminika kuwa wafuasiwa CHADEMA kwa kisingizio cha ujambazi pale DODOMA.
Yale yaleee! Nani ahangaike na
Juliana Shonzi kama si vijana wa UVCCM ambao hawakuweza kuzuia hisia zao hawa wasaliti kukumbatiwa na wao kusahaulika, ja umesahau?
Yapo mambo mengi ambayo kwa hamtaki kukubali kuwa hawa vijana wanawanyima usingizi na hayoni baadhi tu.
Nadhani hapa unakosea, wanaokosa usingizi kweli unashindwa kuwatambua!...mithread kibao isiyo na kichwa wala miguu; mara Chadema imekimbiwa na katibu mwenezi wa kata, really?
Enzizamwalimu, it is a pity umeamua kiasi hiki kulidhalilisha jina la Baba wa Taifa? Ni Samsung za Makamba zinazowakosesha watu usingizi...wow!