CHADEMA yazidi kumeguka...!

CHADEMA yazidi kumeguka...!

Mama katibu mwenezi wa kata nae unaita pigo kubwa !!!? Wewe subiri mwakani uone kazi. Yatakupata ya Arusha. Hofu yangu ni hatima yako baada ya mwaka2015 CCM itakapokuwa imezikwa rasmi maisha yako yatakuwaje, kaa chonjo saa mbaya.

NA ASIRUDI CDM ma.la..a huyo,,!
 
Back
Top Bottom