CHADEMA yazidi kumeguka...!

CHADEMA yazidi kumeguka...!

Akizungumza mara baada ya kuhamia CCM, Maja alisema kuwa kule Chadema hakuna lolote kwani siasa zake ni za kibabaishaji. "kule hakuna lolote zaidi ya ujanja ambao hautaweza kuleta maendeleo kwa wananchi. Mimi nilipata matatizo lakini walishindwa kunisaidia hadi nikasaidiwa na CCM, nimeona kuwa chama cha ukweli ni Cha Mapinduzi pekee" Alisema Maja.

.

Majibu yote yapo hapo. huyu alitegemea akiugua au akipata matatizo chama kiwe bima kwa ajili ya matatizo yake naamini alikuwa wrong sana.

pili kuamia kwake CCM mni kutokana na hizo fadhila hapo na hili kw avyovyote alitokani na akili yake bali ni tumbo au shida tu ndiyo zinazo mrudisha huko, akitulia na kujitambua naamini ataacha siasa maana itakuwa ni aibu.
 
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.

CHADEMA kimepata pigo kubwa baada ya aliyekuwa Katibu Mwenezi wa chama hicho Kata ya Mkuza Abdallah Maja kuhama chama hicho na kujiunga na CCM.

Maja pamoja na wanachama wengine wa CHADEMA akiwemo Yusuph Komba walirudisha kadi za Chama hciho kwenye mkutano wa hadhara wa Mwenyekiti wa CCM Kibaha Mjini Maulid Bundala uliofanyika Mkuza Kibondeni wilaya ya kibaha wakati wa ziara yake inayoendelea kwenye mji huo kuangalia utekelezaji wa Ilani ya Chama.

Akizungumza mara baada ya kuhamia CCM, Maja alisema kuwa kule Chadema hakuna lolote kwani siasa zake ni za kibabaishaji. "kule hakuna lolote zaidi ya ujanja ambao hautaweza kuleta maendeleo kwa wananchi. Mimi nilipata matatizo lakini walishindwa kunisaidia hadi nikasaidiwa na CCM, nimeona kuwa chama cha ukweli ni Cha Mapinduzi pekee" Alisema Maja.

Source: Majira jumatatu septemba 30, 2013. Ukurasa wa 10:

Baada ya Habari hiyo ya kusisimua napenda kumpa pole ya dhati kabisa Mwenyekiti wa Chadema Taifa Bw. Freeman Aikaeli Mbowe kwa kufiwa na Ndugu yake Grace Aikaeli Mbowe, ambaye amefariki katika ajali ya Gari iliyotokea eneo la Kabuku Jana.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana Lihimidiwe. Pole mara mbili Mheshimiwa.

Tena imemeguka zaidi baada ya Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, Katibu Wilbrod Slaa na akina Tundu Lisu kuhamia CCM, Huku Jakaya Kikwete, Nape Nnauye, Mwigulu Nchemba, Abdulrahman Kinana kuhamia CHADEMA.
 
Kweli ccm wana hali mbaya yaani kwao kumchukua katibu mwenezi ni pigo kubwa? Chadema ni taasisi kubwa yenye msongamano mkubwa wa watu wenye uwezo tofauti tofauti kuliko ccm kwa sasa pigo kubwa la chadema ni msajili kukifuta chama na sio mtu kuondoka!
 
Mkuu Mimibaba, hapa cjakuelewa kabisa unaweza kufafanua kidogo??? Ina maana hiyo ajali ina mkono wa mtu.

CCM walimtumia vibaya huyo mama kumgombanisha na Freeman Mbowe. CCM wasivyomjua Mungu, anatoa majibu yasiyotarajiwa hapa hapa kwa wakati wake; ni ngumu kumeza lakini imetokea.
 
Namshukuru MUNGU kwamba kuna CHADEMA, sipati picha bila CHADEMA hii nchi ingekuwa wapi leo! Pia sijui kama CCM ingefika umahtuti huu bila CHADEMA.

Kwa sasa CCM wameamua kuwa siasa ni propaganda, chuki na siasa chafu. Wamekataa weledi, staha, upendo, uwajibikaji na uzalendo ....wao ni matusi na ubabe tu kuanzia chamani, bungeni hadi serikalini.

Tena ukisikia neno "ajira" basi CHADEMA imekuwa mojawapo ya chanzo kikubwa cha ajira kwa CCM! Na JK "Bwana Maendeleo" hachelewi kujigamba kutengeneza ajira elfu kadhaa! Gimme a break folks!

Well, ukweli utabaki ya kuwa kinachowaponza (CCM) ni kuwa hawajui CHADEMA NDIO wananchi wenyewe wa Tanzania na hivyo kwa kadiri wanavyowatendea udhalimu na ubaya (CHADEMA) ni kadiri hiyo hiyo wanawatendea ubaya Watanzania. Hivyo Juliana na genge lenu linaloongozwa na Nape, Mwigulu, Kinana, Wassira & Lukuvi mjue fika kuwa hapa mnatwanga maji kwenye kinu, hizo propaganda zeny na siasa zenu chafu si tu kuwa haziwasaidii bali pia zinazidi kuonesha udhaifu wenu na pia kuongeza chuki ya Watanzania dhidi ya CCM. Hapo hapo wananchi wanazidi kuwa karibu na CHADEMA na kuikubali zaidi na zaidi.

Wao (CCM) wanadhani kuna toafuti kati ya Watanzania na CHADEMA. NAAAAH, it's same and similar product right now.
 
Kwa kweli njaa ni kitu kibaya sana!
Baada ya kutimuliwa CDM umeamua kukipa kichwa chako likizo,na kuamua kufikiri kutumia
 
CCM sio kama CDM
huku hawaziki wanasiasa wachanga na wanaochipukia..,huku viongozi wetu
hawahodhi madaraka kama chadema.,.wanatupa fursa na tunazitumia.
Huku hatukuja kwa ajili ziara.,tumekuja kutimiza malengo yetu kisiasa
ambapo hakukupewa fursa hiyo chadema ambako kuna waroho wa madaraka na
wapenda vyeo kupindukia ambao wanahodhi kila kitu ndani ya Chama,
hawatoi nafasi kwa wanachama na viongozi wadogo kupata na kutumia fursa
za kisiasa. ni watu waroho sana na wenye chuki na roho mbaya.

Wewe ongea sana, ila ukweli upo moyoni mwako. Hatua uliyofikia ukiwa CDM yaani makamu mwenyekiti wa BAVICHA taifa hutokaa uipate tena. Kwa tutakutumia tuuu, then tunakutupa.
 
CCM walimtumia vibaya huyo
mama kumgombanisha na Freeman Mbowe. CCM wasivyomjua Mungu, anatoa
majibu yasiyotarajiwa hapa hapa kwa wakati wake; ni ngumu kumeza lakini
imetokea.

Mkuu ahsante kwa ufafanuzi, I was not aware at all.
 
Juliana Shonza

Unajiita wewe mchanga wewe wakati wanaume wote unawajua walivyo mpaka umekua na sugu siku hizi acha kudanganya watu endelea kutumika tu
 
nimetoka kupigwa ban kwa ajili ya nape na wewe juliana naomba usinisababishie ban tena,kwa kifupi juliana wewe ni used ushatumika kwa magamba na saivi wamekutupa,tafadhari tuache na chadema yetu,subiri uone kipigo watakachokipata ccm mwakani na 2015 MIA.
 
haishangazi watu wenye akili fupi kukimblia ccm! lakini pia njaa pamoja na ufupi wa akili waliyo jengewa na hiki chama cha kifisadi ndiyo kina fanya wahangaike wali wasijue wanachofanya

Ujumbe wako unamhusu alieleta hii thread pia!
 
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.


Akizungumza mara baada ya kuhamia CCM, Maja alisema kuwa kule Chadema hakuna lolote kwani siasa zake ni za kibabaishaji. "kule hakuna lolote zaidi ya ujanja ambao hautaweza kuleta maendeleo kwa wananchi. Mimi nilipata matatizo lakini walishindwa kunisaidia hadi nikasaidiwa na CCM, nimeona kuwa chama cha ukweli ni Cha Mapinduzi pekee" Alisema Maja.

Mimi, sihitaji kusaidiwa kibinadamu zaidi ya kuhitaji ulinzi wa Mungu ninapopata matatizo. Na ni mwanachama HAI WA CHADEMA.
 
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.

CHADEMA kimepata pigo kubwa baada ya aliyekuwa Katibu Mwenezi wa chama hicho Kata ya Mkuza Abdallah Maja kuhama chama hicho na kujiunga na CCM.

Maja pamoja na wanachama wengine wa CHADEMA akiwemo Yusuph Komba walirudisha kadi za Chama hciho kwenye mkutano wa hadhara wa Mwenyekiti wa CCM Kibaha Mjini Maulid Bundala uliofanyika Mkuza Kibondeni wilaya ya kibaha wakati wa ziara yake inayoendelea kwenye mji huo kuangalia utekelezaji wa Ilani ya Chama.

Akizungumza mara baada ya kuhamia CCM, Maja alisema kuwa kule Chadema hakuna lolote kwani siasa zake ni za kibabaishaji. "kule hakuna lolote zaidi ya ujanja ambao hautaweza kuleta maendeleo kwa wananchi. Mimi nilipata matatizo lakini walishindwa kunisaidia hadi nikasaidiwa na CCM, nimeona kuwa chama cha ukweli ni Cha Mapinduzi pekee" Alisema Maja.

Baada ya Habari hiyo ya kusisimua napenda kumpa pole ya dhati kabisa Mwenyekiti wa Chad
GO TO HELL; NOTHING IS COMMON.
 
ila kunasehemu umekosea kuandika.sasa hao walio hama mmewapa shilingi ngapi? alafu hilo siyo pigo.kawaida tu!
 
Wakati mwingine maisha yanachangamoto sana,na kama hujapata washauri wazuri lazima uichukie dunia hata kama wewe ndo umeikosea.

Katika hali ya kawaida Juliana kweli miaka 2 nyuma vision yako na siasa zako zililenga siasa za kata ? Makamu Mkiti Bavicha Taifa ! Pole sana.Ushauri wa bure,acha kulazimisha status uliyoipoteza kwa tamaa za kijinga,kubali kwamba ulifanya makosa makubwa ya maamuzi hii itakusaidia kujipanga na pengine kurudi kwenye position yako lakini tayari ukiwa umekubali kujiadhibu,nje ya hapo kuendelea kusema uongo kuwa Chadema inashuka huku moyoni ukikiri kuwa inapanda unajiweka ktk mgogoro wa nafsi ambao ni mbaya kuliko aibu uliyo nayo kwa sasa.
 
Back
Top Bottom