robby one for really
Member
- Jan 17, 2013
- 29
- 8
Acha ubazazi .........kuwa na akili timamu...........achenu kupakaza matope kwa jambo ambalo hata mtu hajafanya.........
Juliana Shonza naomba nikuulize kaswali kadogo tu; kama kwa kutoka (kufukuzwa) kwenu Chadema, wewe na wasaliti wenzako mkiwa viongozi wa kitaifa, Chadema haikutetereka, iweje leo kutoka eti kwa katibu mwenezi wa kata Chadema itetereke?
Nimepitia michango mingi kwenye hii mada, Mbona watu wanamjadili shonza badala ya mada? kwa nini? tujikite kwenye kujadili mada kwa maendeleo ya nchi, udaku wa shonza kafanya hivi na vile so what?
Pole sana dadangu JULIANA SHONZA inabidi
uwavumilie watu wa aina hii ya iron boys.[/QUOTE
]
Wala usijari mkuu hawanisumbui Mimi hawa wafuasi wa kibwetere maana wanaonyesha upeo wap wakujadili mambo ya msingi ni mdogo sana
Safari inaendelea watabomoka sana mwaka huu mpaka tufike tuendako atabaki mtei,slaa na mbowe kwenye chama siyo vinginevyo.
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.
CHADEMA kimepata pigo kubwa baada ya aliyekuwa Katibu Mwenezi wa chama hicho Kata ya Mkuza Abdallah Maja kuhama chama hicho na kujiunga na CCM.
Maja pamoja na wanachama wengine wa CHADEMA akiwemo Yusuph Komba walirudisha kadi za Chama hciho kwenye mkutano wa hadhara wa Mwenyekiti wa CCM Kibaha Mjini Maulid Bundala uliofanyika Mkuza Kibondeni wilaya ya kibaha wakati wa ziara yake inayoendelea kwenye mji huo kuangalia utekelezaji wa Ilani ya Chama.
Akizungumza mara baada ya kuhamia CCM, Maja alisema kuwa kule Chadema hakuna lolote kwani siasa zake ni za kibabaishaji. "kule hakuna lolote zaidi ya ujanja ambao hautaweza kuleta maendeleo kwa wananchi. Mimi nilipata matatizo lakini walishindwa kunisaidia hadi nikasaidiwa na CCM, nimeona kuwa chama cha ukweli ni Cha Mapinduzi pekee" Alisema Maja.
Source: Majira jumatatu septemba 30, 2013. Ukurasa wa 10:
Baada ya Habari hiyo ya kusisimua napenda kumpa pole ya dhati kabisa Mwenyekiti wa Chadema Taifa Bw. Freeman Aikaeli Mbowe kwa kufiwa na Ndugu yake Grace Aikaeli Mbowe, ambaye amefariki katika ajali ya Gari iliyotokea eneo la Kabuku Jana.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana Lihimidiwe. Pole mara mbili Mheshimiwa.
Nimekugongea like mkuuUna maana ulikuwa unamkubali sana SHONZA, basi subiri 2015 utaona athari za SHONZA na MWAMPAMBA kutoka CHADEMA.
Utambue pia kuna mambo mengi sana ambayo pengine yametokea kwa sababu ya hawa vijana kuondoka CHADEMA.
1.Kugundulika kwa unyama wa WIFRED LWAKATARE
2. ZITTO kabwe kukosa morari ya kujihusisha na masuala ya chama
3. Nguvu ya CDM Ughaibuni kupungua kwa asilimia kubwa
4. matumizi ya nguvu na pesa nyingi sana katika uchaguzi mdogo katika mji wa arusha pamoja na kwamba CHADEMA walisema hata wangesimamisha jiwe na CCM lingeshindwa
5.CHADEMA kuwa na watu maalum wa kukabiliana na SHONZA na MWAMPAMBA kwenye mitandao ya kijamii na majukwaani
6.Tukio la JULIANA SHONZA kutaka kushambuliwa na watu walioaminika kuwa wafuasiwa CHADEMA kwa kisingizio cha ujambazi pale DODOMA.
Yapo mambo mengi ambayo kwa hamtaki kukubali kuwa hawa vijana wanawanyima usingizi na hayoni baadhi tu.
Unaweza kuta ana mimba changa inayomzingua....
Kweli chadema ni shimo la matusi siamini kama haya maneno yanatoka kwenye kinywa cha binadamu kwa mwendo huu sijui kama yesu atakuja tena .Hivi nyie vijana mnafikiri kuwa hamuwezi kuishi bila kuvua chup?... Wewe si una-degree, sasa kinachokufanya ushindwe kuishi bila kuvua chup ni nini?..
Huu ndo uwezekano mkubwa wa huyu mganga njaaa.......Tena mimba ya mwiguluneti
Kweli chadema ni shimo la matusi siamini kama haya maneno yanatoka kwenye kinywa cha binadamu kwa mwendo huu sijui kama yesu atakuja tena .
Sikuamini kama juliana anaweza kuwayumbisha kiasi hiki vijana wa bavicha wameshindwa kujadili mada na kuanza kutukana kama wagonjwa.
Safari inaendelea watabomoka sana mwaka huu mpaka tufike tuendako atabaki mtei,slaa na mbowe kwenye chama siyo vinginevyo.
Kuchangia Nyuzi nyingine ni Kuzeesha Keypad za Computer zetu aisee
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.
CHADEMA kimepata pigo kubwa baada ya aliyekuwa Katibu Mwenezi wa chama hicho Kata ya Mkuza Abdallah Maja kuhama chama hicho na kujiunga na CCM.
Maja pamoja na wanachama wengine wa CHADEMA akiwemo Yusuph Komba walirudisha kadi za Chama hciho kwenye mkutano wa hadhara wa Mwenyekiti wa CCM Kibaha Mjini Maulid Bundala uliofanyika Mkuza Kibondeni wilaya ya kibaha wakati wa ziara yake inayoendelea kwenye mji huo kuangalia utekelezaji wa Ilani ya Chama.
Akizungumza mara baada ya kuhamia CCM, Maja alisema kuwa kule Chadema hakuna lolote kwani siasa zake ni za kibabaishaji. "kule hakuna lolote zaidi ya ujanja ambao hautaweza kuleta maendeleo kwa wananchi. Mimi nilipata matatizo lakini walishindwa kunisaidia hadi nikasaidiwa na CCM, nimeona kuwa chama cha ukweli ni Cha Mapinduzi pekee" Alisema Maja.
Source: Majira jumatatu septemba 30, 2013. Ukurasa wa 10:
Baada ya Habari hiyo ya kusisimua napenda kumpa pole ya dhati kabisa Mwenyekiti wa Chadema Taifa Bw. Freeman Aikaeli Mbowe kwa kufiwa na Ndugu yake Grace Aikaeli Mbowe, ambaye amefariki katika ajali ya Gari iliyotokea eneo la Kabuku Jana.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana Lihimidiwe. Pole mara mbili Mheshimiwa.