Juliana Shonza
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 2,009
- 1,609
- Thread starter
-
- #201
unajifanya hujui watuhumiwa wenzako wako wapi now??
very soon iyo kichwa kubwa itakuwa rumande.
narudia tena, very soon.
Hahaaa we naona hunifahamu unanisikia sikia tuhuna ubavu wa kukanyaga arusha with your own consent.
Narudia tena, very soon you will be served what you deserve.
Mwigulu Nchemba ndo anakufamu.Hahaaa we naona hunifahamu unanisikia sikia tu
Mimi ni jeshi la mtu mmoja,nyie wazee wa ufipa mpaka mkusanyane Ndio mje hapa kutukanaAcha kudharirisha wanawake nani kakwambia mwanamke hawezi kupambana na wanume jinga zima pamoja na kufika chuo bado kimeathirika na mfumo dume..kwani yule councilor wa ujerumani si mwanamke na anpiga kazi na aliwabwaga wanaume usitumie genda kutafuta huruma , au hujasoma falsafa mwal. mzima
Mkuu waswahili walisema ngoja ngoja yaumiza matumbo hiyo soon itafika lini?Mwigulu Nchemba ndo anakufamu.
narudia tena very soon utawajibishwa kwa mauaji ulioshiriki Soweto Arusha.
ulidhani baada ya pale tutalala tu
narudia tena, very soon you will be charged and convicted for the murder.
Mkuu waswahili walisema ngoja ngoja yaumiza matumbo hiyo soon itafika lini?
Naisubiri kwa shauku kama ayala ayaoneavyo shauku maji ya mto
Tatizo iyo ni saccos sio chama cha kisiasa
Kwa sasa una fursa gani?CCM sio kama CDM huku hawaziki wanasiasa wachanga na wanaochipukia..,huku viongozi wetu hawahodhi madaraka kama chadema.,.wanatupa fursa na tunazitumia.
Huku hatukuja kwa ajili ziara.,tumekuja kutimiza malengo yetu kisiasa ambapo hakukupewa fursa hiyo chadema ambako kuna waroho wa madaraka na wapenda vyeo kupindukia ambao wanahodhi kila kitu ndani ya Chama, hawatoi nafasi kwa wanachama na viongozi wadogo kupata na kutumia fursa za kisiasa. ni watu waroho sana na wenye chuki na roho mbaya.
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.
CHADEMA kimepata pigo kubwa baada ya aliyekuwa Katibu Mwenezi wa chama hicho Kata ya Mkuza Abdallah Maja kuhama chama hicho na kujiunga na CCM.
Maja pamoja na wanachama wengine wa CHADEMA akiwemo Yusuph Komba walirudisha kadi za Chama hciho kwenye mkutano wa hadhara wa Mwenyekiti wa CCM Kibaha Mjini Maulid Bundala uliofanyika Mkuza Kibondeni wilaya ya kibaha wakati wa ziara yake inayoendelea kwenye mji huo kuangalia utekelezaji wa Ilani ya Chama.
Akizungumza mara baada ya kuhamia CCM, Maja alisema kuwa kule Chadema hakuna lolote kwani siasa zake ni za kibabaishaji. "kule hakuna lolote zaidi ya ujanja ambao hautaweza kuleta maendeleo kwa wananchi. Mimi nilipata matatizo lakini walishindwa kunisaidia hadi nikasaidiwa na CCM, nimeona kuwa chama cha ukweli ni Cha Mapinduzi pekee" Alisema Maja.
Source: Majira jumatatu septemba 30, 2013. Ukurasa wa 10:
Baada ya Habari hiyo ya kusisimua napenda kumpa pole ya dhati kabisa Mwenyekiti wa Chadema Taifa Bw. Freeman Aikaeli Mbowe kwa kufiwa na Ndugu yake Grace Aikaeli Mbowe, ambaye amefariki katika ajali ya Gari iliyotokea eneo la Kabuku Jana.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana Lihimidiwe. Pole mara mbili Mheshimiwa.
Hahaaa we naona hunifahamu unanisikia sikia tu
Mchemba ameshakuchoka anatafuta dogodogo nyingine wewe ameshakuweka kwenye group la scrapperHahaaaaaa bwana mdogo labda
hunijui vzr unadhani mm ni sawa nahao
Listen carefully,am a super ironic woman huwezi nipata popoteee ,na kama unahisi ww unaweza nakuruhusu weka hapa jf upuuzi unaosema this time am waiting
Dada yangu Juliana, nakushauri acha kujidhalilisha!, hata kama hiyo digrii yako ni ya chupi!, usifanye kila mtu akajua ndio hivyo!, jisetiri japo kidogo!.Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.Baada ya Habari hiyo ya kusisimua napenda kumpa pole ya dhati kabisa.