CHADEMA yazidi kumeguka...!

CHADEMA yazidi kumeguka...!

Hahaaa we naona hunifahamu unanisikia sikia tu
Mwigulu Nchemba ndo anakufamu.
narudia tena very soon utawajibishwa kwa mauaji ulioshiriki Soweto Arusha.
ulidhani baada ya pale tutalala tu?

narudia tena, very soon you will be charged and convicted for the murder.
 
Last edited by a moderator:
Acha kudharirisha wanawake nani kakwambia mwanamke hawezi kupambana na wanume jinga zima pamoja na kufika chuo bado kimeathirika na mfumo dume..kwani yule councilor wa ujerumani si mwanamke na anpiga kazi na aliwabwaga wanaume usitumie genda kutafuta huruma , au hujasoma falsafa mwal. mzima
Mimi ni jeshi la mtu mmoja,nyie wazee wa ufipa mpaka mkusanyane Ndio mje hapa kutukana
Hahaaa baadae sanaaa
 
Mwigulu Nchemba ndo anakufamu.
narudia tena very soon utawajibishwa kwa mauaji ulioshiriki Soweto Arusha.
ulidhani baada ya pale tutalala tu
narudia tena, very soon you will be charged and convicted for the murder.
Mkuu waswahili walisema ngoja ngoja yaumiza matumbo hiyo soon itafika lini?
Naisubiri kwa shauku kama ayala ayaoneavyo shauku maji ya mto
 
Last edited by a moderator:
Mkuu waswahili walisema ngoja ngoja yaumiza matumbo hiyo soon itafika lini?
Naisubiri kwa shauku kama ayala ayaoneavyo shauku maji ya mto

narudia tena, very soon utaunganishwa na watuhumiwa wenzako wa tukio la bomu arusha.
damu mliyomwaga itaangamiza kuanzia kizazi chenu cha 1 hadi cha 9.

narudia tena, very soon unakamatwa.
 
Tatizo iyo ni saccos sio chama cha kisiasa


BIG RESULTS NOW (BRN)
Implememtation will focus on six priority areas of economy:
1) Energy and natural gas
2) Agriculture
3) Water
4) Education
5) Transport
6) Mobility of resources.



Jenga hoja kuhusu haya labda utajiongezee "ka-status" achana na longolongo ya mwenezi kata. however I believe that under ccm of yours this'll be
"MISSION IMPOSSIBLE"
 
CCM sio kama CDM huku hawaziki wanasiasa wachanga na wanaochipukia..,huku viongozi wetu hawahodhi madaraka kama chadema.,.wanatupa fursa na tunazitumia.
Huku hatukuja kwa ajili ziara.,tumekuja kutimiza malengo yetu kisiasa ambapo hakukupewa fursa hiyo chadema ambako kuna waroho wa madaraka na wapenda vyeo kupindukia ambao wanahodhi kila kitu ndani ya Chama, hawatoi nafasi kwa wanachama na viongozi wadogo kupata na kutumia fursa za kisiasa. ni watu waroho sana na wenye chuki na roho mbaya.
Kwa sasa una fursa gani?
 
Na bado wataisha wote hao,watakaobakia kule ni wale vibaraka na wapiga hela.
Nalog off
 
Ninanukuu"Nilipata matatizo wakashindwa kunisaidia,nikasaidiwa na ccm" ,yaani haya ni maelezo ya mtu mwenye akili kweli?,yaani unakwenda maali kwa shida si kwa mapenzi,hapo maana yake ata wangekusaidia CCK ungehamia,wangekusaidia UDP ungehamia n.k.,watu wa namna hii ni wa kuogopa sana,alafu na nyinyi ccm mnashangilia kumpata mtu kama huyo,ambaye anaendeshwa na shida zake.
 
Seriously, Juliana you're more than a political prostitute. Yaani na akili zako timamu unaweza kutaka kuuhadaa umma kuwa kuijengua kwa Katibu Mwenezi wa KATA ni pigo,let alone kumeguka, kwa Chadema?

You indeed are one hopeless woman.
 
Juliana naomba namimi niweke kapost kangu hapa: comments nyingi nilizozisoma humu baada ya wewe kuweka post yako si nzuri hususani kwa taswira yako ya kisiasa. Hivi basi nakuomba usizipuuze, jitathnini ni wapi ulipokosea. Na kama si wewe basi viongozi wa chama chako inabidi wafanyie kazi hili suala kwani linatoa picha ya jinsi unavyokubalika na jamii ya watu wasomi (online community). Binafsi nakushauri uangalie yafuatayo:
1) Kwanini watu wanahisi unazini na mwigulu nchemba? Je ni ukaribu wako na yeye wenye kutia mashaka? Na je unajua ni mume wa mwanamke mwenzio?
2) Kwanini watu wanaamni umeshiriki tukio la bomu Arusha?
3) Je kwanini ukiweka comment kama hii, watu wanajaribu kulink IQ yako pamoja na elimu yako ya chuo kikuu? Je hii inatokana na aina ya topics unazozichagua labda zinakuwa na mrengo wa tofauti na matarajio ya wengi?
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.

CHADEMA kimepata pigo kubwa baada ya aliyekuwa Katibu Mwenezi wa chama hicho Kata ya Mkuza Abdallah Maja kuhama chama hicho na kujiunga na CCM.

Maja pamoja na wanachama wengine wa CHADEMA akiwemo Yusuph Komba walirudisha kadi za Chama hciho kwenye mkutano wa hadhara wa Mwenyekiti wa CCM Kibaha Mjini Maulid Bundala uliofanyika Mkuza Kibondeni wilaya ya kibaha wakati wa ziara yake inayoendelea kwenye mji huo kuangalia utekelezaji wa Ilani ya Chama.

Akizungumza mara baada ya kuhamia CCM, Maja alisema kuwa kule Chadema hakuna lolote kwani siasa zake ni za kibabaishaji. "kule hakuna lolote zaidi ya ujanja ambao hautaweza kuleta maendeleo kwa wananchi. Mimi nilipata matatizo lakini walishindwa kunisaidia hadi nikasaidiwa na CCM, nimeona kuwa chama cha ukweli ni Cha Mapinduzi pekee" Alisema Maja.

Source: Majira jumatatu septemba 30, 2013. Ukurasa wa 10:

Baada ya Habari hiyo ya kusisimua napenda kumpa pole ya dhati kabisa Mwenyekiti wa Chadema Taifa Bw. Freeman Aikaeli Mbowe kwa kufiwa na Ndugu yake Grace Aikaeli Mbowe, ambaye amefariki katika ajali ya Gari iliyotokea eneo la Kabuku Jana.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana Lihimidiwe. Pole mara mbili Mheshimiwa.
 
Chama kumeguka ni pale Nape na Kinana wanamtumia MCHINA kueneza sumu yao kwa wananchi na Benard Membe kuwatolea uvuvi wote wawili.
Benyewe kwa benyewe CCM banakabana roho
 
juliana wewe ni muuaji na damu ya mtu huwa haipotei bure,itakutafuna wewe na bwana wako mwigulu,pia nakshauri uache ufuska na umalaya wako mwigulu ana mke
 
Hahaaaaaa bwana mdogo labda
hunijui vzr unadhani mm ni sawa nahao
Listen carefully,am a super ironic woman huwezi nipata popoteee ,na kama unahisi ww unaweza nakuruhusu weka hapa jf upuuzi unaosema this time am waiting
Mchemba ameshakuchoka anatafuta dogodogo nyingine wewe ameshakuweka kwenye group la scrapper
 
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.Baada ya Habari hiyo ya kusisimua napenda kumpa pole ya dhati kabisa.
Dada yangu Juliana, nakushauri acha kujidhalilisha!, hata kama hiyo digrii yako ni ya chupi!, usifanye kila mtu akajua ndio hivyo!, jisetiri japo kidogo!.

Hebu angalia contradiction kwenye bandiko lako kwa "habari ya kusisimua" alafu unatoa "pole ya dhati kabisa!".
Kama unajijua uko ok, endelea tuu, kwa sababu kuwa kichaa sio lazima mpaka mtu uokote makopo!.
Kiukweli kumbe Chadema iliwabeba wengi!, baada ya kutoka ndipo sasa tunagundua kuwa hata makapi ni afadhali kidogo, hizi ni pumba kabisa za kupeperushwa na upepo!.

Ulipotimuliwa, jamaa yangu huyu alikutetea sana hapa, Wito: CHADEMA Watendeeni Haki Wanachama Wenu Ili ..
laiti angesikilizwa, kumbe Chadema ingekuwa inaendekeza vichaa!.

Ila pia hongera zako!, kwa CCM hapo umefika, ndipo penyewe na unafit sana!, hata Tambwe Hiza alipokuwa CUF alikuwa tofauti, alipoingia CCM naye alianza kwa kubwabwaja kama wewe, endelea tuu wakati wako nawe utafika!. Kiukweli mnakisaidia sana CCM!.

CCM Oye!.

Pasco
 
Back
Top Bottom