KERENG'ENDE
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 398
- 31
Siku yamabadiliko ikifika hakuna atakaye pinga hata akisimama naupanga hakuna atakaye hofia ......... alama za nyakati hizo zimesha someka asante CDM
mgombea wa chadema said amur arfi ameshinda na amemzidi mgombea wa ccm kwa kura 67 tu,na ameshatangazwa na tume na mpanda yote imelipuka kwa shangwe,niko mitaani hapa mjini mpanda ni shangwe na nderemo.
Hizi ni habari njema sana kwani Ndugu Arfi ni mpiganaji mzuri na hii inaihakikishia Chadema kupata walau wabunge wawili wengine wa viti maalumu. Hongera sana Ndugu Arfi na Chadema!mgombea wa chadema said amur arfi ameshinda na amemzidi mgombea wa ccm kwa kura 67 tu,na ameshatangazwa na tume na mpanda yote imelipuka kwa shangwe,niko mitaani hapa mjini mpanda ni shangwe na nderemo.
Mwera hizo ni habari njema sana.
Na mimi napata kikombe cha kahawa hapa huku shemeji yenu akinichezea "Yori Yori"
masanilo mimi napenda mabadiliko nawala sio cuf,ila sipendi wapinzani kwa wapinzani kushutumiana nakuipa faida ccm,kwataarifa tu rasmi nakupa masanilo huyu mgombea wa chadema alieshinda leo said arfi nimwamlim wangu nanamkubalisana,ndio mana nilikuja mpanda kumpa sapoti.Kwa mara ya kwanza nakupa thanks! Mzee wa CUF
Nina nusu lita ya laga kwa kusheherekea. Nadhani NEC walitaka kuchakachua lakini JK akawakataza kuwa sasa inatosha kwa vile yeye keshaingia Ikulu na CCM imeshapata viti maalumu 64; ... just me
Mwera hizo ni habari njema sana.
Na mimi napata kikombe cha kahawa hapa huku shemeji yenu akinichezea "Yori Yori"
masanilo mimi napenda mabadiliko nawala sio cuf,ila sipendi wapinzani kwa wapinzani kushutumiana nakuipa faida ccm,kwataarifa tu rasmi nakupa masanilo huyu mgombea wa chadema alieshinda leo said arfi nimwamlim wangu nanamkubalisana,ndio mana nilikuja mpanda kumpa sapoti.
Hongera sana Ndugu Arfi na Chadema!
mgombea wa chadema said amur arfi ameshinda na amemzidi mgombea wa ccm kwa kura 67 tu,na ameshatangazwa na tume na mpanda yote imelipuka kwa shangwe,niko mitaani hapa mjini mpanda ni shangwe na nderemo.
Asante sana Mwera kwa uthibitisho. Kwa wale wanaojua hesabu za viti maalum msaada plz, je viti maalum vitaongezeka? Kama jibu ' 'yes' tupe hesabu zinavyofanyika.
Jimbo lina vituo 104 kwa hiyo hapa ushindi Chadema mpaka sasa mweupeeeee
Mbona kuna mtu wangu yupo pale anasema ni kweli Chadema inaongoza ila bado hawajatangaza na vijana wameshasema kama uchakachuaji ukitokea basi familia ya Waziri mkuu itakuwa imehusika kwa mambo yote na vurugu zozote watahusika kwa vyovyote; wajameni ebu kuweni wakweli naona habari zinakimbia kwa kasi sana
hata mimi nashindwa kuelewa28 au 104? Mbona mnatuchanganya?
mm nipo kawajense ila kuna habar zakutatanisha sasa eti tume inadai ilitaka kutangaza kabla yakutangaza wafuas wa chadema wakaanza kushangilia kwasabab kilakitu kikowazi chademawameshinda kwakura 67,sasa wamemvuta ndani arfi wa chadema ambae ameshinda wanasema wanachek mahesab yakituo kimoja,kwakweli nimkanganyiko mkubwa sanahapa mpanda watu wako mitaani wanashangilia huku tume imezua lake jambo lingine,hapa sasa wanataka kuchakachua,ila nahic wakimtangaza wa ccm itakua balaa,watu wanahesabu yakura zakituo kwakituo arfi ameshinda kwakura 67,kama upo hapa mpanda pita uone matokeo yaliyobandikwa vituoni utaona kama chadema wameshinda,lakin mmmhhh!