Wa Ndima
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 1,526
- 308
Matokeo ya awali Mpanda Mjini Said Arfi wa Chadema anaongoza vituo 27 kati ya 28 mpaka sasa
Katika vituo vingine na kura za wagombea katika mabano ni
Azimio 1, Chadema (124), CCM (23),
Azimio 2, Chadema (72), CCM (62),
Azimio 3 Chadema (88), CCM (49),
Azimio 4, Chadema (72), CCM (55),
Azimio 5, Chadema (72), CCM (62).
Katika kituo cha Paradise 1, Chadema (64), CCM (62),
Paradise 2, Chadema (94), CCM (55),
Paradise 3, Chadema (100), CCM (68),
Paradise 4, Chadema (94), CCM (63),
Majengo Chadema (73), CCM (65),
Makanyagio 1, Chadema (64), CCM (63),
Makanyagio 2, Chadema (86), CCM (59).
Makanyagio 3, Chadema (103), CCM (73),
Makanyagio 4, Chadema (92), CCM (64),
Makanyagio 5, Chadema (88), CCM (69),
Isikama 1, Chadema (90), CCM (67),
Isikama 2, Chadema (108), CCM (78),
Isikama 3, Chadema (90), CCM (73).
UPDATES:
Katika vituo vingine na kura za wagombea katika mabano ni
Azimio 1, Chadema (124), CCM (23),
Azimio 2, Chadema (72), CCM (62),
Azimio 3 Chadema (88), CCM (49),
Azimio 4, Chadema (72), CCM (55),
Azimio 5, Chadema (72), CCM (62).
Katika kituo cha Paradise 1, Chadema (64), CCM (62),
Paradise 2, Chadema (94), CCM (55),
Paradise 3, Chadema (100), CCM (68),
Paradise 4, Chadema (94), CCM (63),
Majengo Chadema (73), CCM (65),
Makanyagio 1, Chadema (64), CCM (63),
Makanyagio 2, Chadema (86), CCM (59).
Makanyagio 3, Chadema (103), CCM (73),
Makanyagio 4, Chadema (92), CCM (64),
Makanyagio 5, Chadema (88), CCM (69),
Isikama 1, Chadema (90), CCM (67),
Isikama 2, Chadema (108), CCM (78),
Isikama 3, Chadema (90), CCM (73).
UPDATES:
Taarifa nilizozipokea sasa hivi kutoka kwa Mhe Zitto aliyepo huko Mpanda Mjini ni kwamba CHADEMA wameshinda kwa tofauti ya kura 607 kwa majumuisho ya kura kutoka katika vituo. Kinachosubiriwa ni msimamizi kutangaza matokeo na kwa uzoefu kutoka uchaguzi uliopita hapo ndipo songombingo ilipo!