Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,018
- 20,490
Ccm isubiri msaada wa boko haram na Al Shabab
Ccm isubiri msaada wa boko haram na Al Shabab
Babu slaa lazima aende marekani na mchumba wake.
Ccm isubiri msaada wa boko haram na Al Shabab
Imeshawekwa chambo cha "kina mama wengi" ujuwe zote zinasukumwa kwenye NGO ya Josefina.
Mtakuja kusema.
Dada yangu unapopewa kitu kuwakilisha katika jamii kazima kusaini ili ijulijane nani anaeipeleka kutoka kwenda.inabidi uende shule kwanza kujua mambo shoga wangu.lolhapo juu nimeona neno "kusaini mkataba"
sasa nataka kujua huo ni msaada, msaada wa masharti au mkopo?
Ccm isubiri msaada wa boko haram na Al Shabab
Babu slaa lazima aende marekani na mchumba wake.
hata ujipendekeze vipi hupati hata mia, hizo pesa na spesho kwa ajili ya mbowe na slaa na mahawara zao
Umeenda msibani?Ccm isubiri msaada wa boko haram na Al Shabab
Acha ushambenga.. wote wameoa.. katafute bwana mwingine..
hizo pesa zote zitaenda kulia bata dubai
I chambo cha mama ujuwe zote zinasukumwa kwenye NGO ya Josefin ~za WAMA zimetoka wapi? IPTL?
Jitingishe shoga wangu anawezaenda nawe lol.
ACT msaada wao hautoki mbali uko jirani na miguu yao.
Umeenda msibani?
ni kwa ajili ya ukawa..au mnataka kuwadhulumu?
Tafuta mme mwingine.. mzee slaa hakutaki mke wake anamtosha.. acha ushambenga..
Na wewe tafuta bwana msomi kama yeye.sio kutafuta bwana kwa mgegendo tu lol shoga wangu funguka achana na jori club.