huo msaada ni kwa ajili ya ukawa..lakini utashangaa chadema watawazunguka cuf na nccr na kula pesa yote wenyewe
acha ujinga nachuki ukawa ndio waliosaini mkataba? ukisikia chadema nguo zinakubanae?
huo msaada ni kwa ajili ya ukawa..lakini utashangaa chadema watawazunguka cuf na nccr na kula pesa yote wenyewe
Imeshawekwa chambo cha "kina mama wengi" ujuwe zote zinasukumwa kwenye NGO ya Josefina.
Mtakuja kusema.
Haah! Haah! Mida yenu hii najua mmeshalewa, maana si haba babu kawafundisha matusi na ulevi wa gongo, katafuteni kisiwa muanzishe serikali yenu, siyo TZ mtasubiri sana.
huo msaada ni kwa ajili ya ukawa..lakini utashangaa chadema watawazunguka cuf na nccr na kula pesa yote wenyewe
Jengeni ofisi ya makao makuu bana,we are tired with current regime man
Josephine deal hiyoo.
Wajinga ndio waliwao.
Amekusikia dada yangu lol shoga unawivu balaa.inaonekana uko kwenye ndoa kwa ajiri ya dili.jitambue.Josephine deal hiyoo.
Wajinga ndio waliwao.
Asante dada yangu lol povu linakutoka mwanadada je ukizeeka unakuwa mchawi.
hizo pesa zote zitaenda kulia bata dubai
huo msaada ni kwa ajili ya ukawa..lakini utashangaa chadema watawazunguka cuf na nccr na kula pesa yote wenyewe
huo msaada ni kwa ajili ya ukawa..lakini utashangaa chadema watawazunguka cuf na nccr na kula pesa yote wenyewe
Na wewe tafuta bwana msomi kama yeye.sio kutafuta bwana kwa mgegendo tu lol shoga wangu funguka achana na jori club.
huo msaada ni kwa ajili ya ukawa..lakini utashangaa chadema watawazunguka cuf na nccr na kula pesa yote wenyewe
Rudi shule dada yangu unajaza saver ya JF tu.Pole sana! Maneno yako katu hayawezi kunibadirisha jinsia, nawahurumia sana mlivyoharibika, mmeharibika nje mpaka ndani! Kauri mbio yenu eti gongo halali, mjini hapa turieni watu watumie hela, mmeamniwa msubiri ukombozi uko karibu wakati nchi iko huru tangu 1961! Poleni sana.
Rudi shule dada yangu unajaza saver ya JF tu.
Nani kasema kwa ajili ya Ukawa mmeanza CCM kugombanisha eti