CHADEMA yapata msaada wa mil 700/= kutoka Denmark

CHADEMA yapata msaada wa mil 700/= kutoka Denmark

by FaizaFoxy;
Imeshawekwa chambo cha "kina mama wengi" ujuwe zote zinasukumwa kwenye NGO ya Josefina.

Mtakuja kusema.


Mbona ww huwa unapewa na Waa-sira sisi hatusemi?
 
Mama acha kumuonea gere mwanamke mwenzio! Wanawake huwa hampendani sijui kwanini,huyo josephine ukute hujawahi hata kumuona!! ha ha ha
Ka kizee Kungwi siku zote kamemshikia bango Josefina kama vile ni mke mwenza nilidhani wivu wa kike uliondoka na Mkapa kumbe bado,huyo Foxy mpaka Dr wa ukweli amtie kwenye 18 zake ndio ataacha kuroroja.
 
Tatizo ni kwamba hazunguuki mbuyu ndiyo maana huwezi kwenda naye. Roho inakuuma eh? Mbona tuko mabasha wengi tu si ututembelee tukukate kiu? Tena nasikia Nape na Kinana ni mahodari wa kuwashugjulikia, nako umejipitisha hujaambulia kitu?


Sent from my iPhone using JamiiForums

Kwahiyo chadema huwa mnageuzana wenyewe? Ndiyo maana mnaomba misaada UK kwa ahadi Kuwa mtaruhusu ndoa ya jinsia moja? Poleni sana, mtasubiri sana mpaka masia atarudi.
 
huo msaada ni kwa ajili ya ukawa..lakini utashangaa chadema watawazunguka cuf na nccr na kula pesa yote wenyewe


Acha kuchekesha kwenye mambo serious mkuu, aliyekuambia hizo fedha ni za kuliwa ni nani? Aliteja neno UKAWA kwenye hayo mazungumzo ni nani? Jitahidi kukua bwana , miaka mingi uliyonayo bado sio kukua
 
Khaa!! Huu mkataba ni wa nini?? Pesa zake zitatumikaje?? Mbona haukuwekwa hadharani??
 
image.jpg Wakati wa kusainiwa kwa mkataba husika .....Kimesera na Rolf nyuma wana chadema wakishuhudia
 
Dah bora katibu wetu ajikopeshe sasa na mwenyekiti ajilipe madeni yake na riba zake,
 
Ka kizee Kungwi siku zote kamemshikia bango Josefina kama vile ni mke mwenza nilidhani wivu wa kike uliondoka na Mkapa kumbe bado,huyo Foxy mpaka Dr wa ukweli amtie kwenye 18 zake ndio ataacha kuroroja.


Ha ha ha,,anamchukia sana Josephine FaizaFoxy!!
 
Back
Top Bottom